Johnyy
Member
- Dec 21, 2018
- 93
- 39
- Thread starter
- #21
umenenaKama ni ubora,basi kwa tanzania chuo kinachotambulika sana ni uhasibu yaani TIA,IAA(Vyuo vya serikali vinavyotoa uhasibu),na quality yake inatofautiana kulingana na matawi husika ya vyuo,mfano.mtu aliyesoma uhasibu ya dar,ni tofauti na anayesoma uhasibu ya IAA,hii ni kulingana na mifumo ya uongozi,
Ila nikuhakikishie tu yakuwa,kwa kipindi hiki cha sasa,serikali imetumia nguvu kubwa sana kuviinua vyuo vya serikali,inawezekana ukapata shahada ya uhasibu chuo cha private lakin atakayekuwa na soko sana katika ajira ni yule anayetoka chuo cha serikali,.
Tatu:
Kuhusu ubora wa mwanafunzi ni yeye mwenyewe,kama ulienda chuo na haukuwa mtu unayejar kusoma na kujenga career yako basi utaishia kuitwa graduate pekee,yaan kama ni mhasibu,ni mhasibu wa makaratasi,
Na hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana,anazan akienda chuo ndio mda wakula bata badala yakujenga professional yake,,
Ni vyema zaid kutambua chuo ni mahali sahihi pakujenga professional..soko la ajira kwa sasa linahitaj vijana walio na uwezo zaid ya elimu ya darasan,wenye uwezo wakutatua changamoto mbali mbali,