Urusi nakshi kibao, hata concentration inakuwa zero
Naona mali zilizoibiwa Africa zinaonyeshwa na waafrika tunasifia tuuu. Kwamba sehemu hii nzuri zaidi ya hiiView attachment 450667 View attachment 450668 Ndani ya white house.
Picha zifuatazo ni ndani ya Kremli
View attachment 450669 View attachment 450673
Pitia hii link kwa picha zaidi za white house ya marekani
A look inside the White House
Pitia hii link kwa picha zaidi za Kremlini ya Urusi
Kremlin Luxury Inside Photos | English Russia
Sidhani kama zimeibwa ulaya bali ungesema wamechukua kwa wajerumani na sehemu za ulaya walikopigana vita hata kama asili ya hizo dhahabu ni africa basi sio zote maana hata ulaya kuna migodi ya dhahabu tena urusi wamebarikiwa kuwa na resource nyingi.Naona mali zilizoibiwa Africa zinaonyeshwa na waafrika tunasifia tuuu. Kwamba sehemu hii nzuri zaidi ya hii
Naona mali zilizoibiwa Africa zinaonyeshwa na waafrika tunasifia tuuu. Kwamba sehemu hii nzuri zaidi ya hii
ya urusi kama nyumba ya majini, ukiachwa peke yako nywele zinasimama
Pitia li k hizoPicha huwez kufanisha...maana za white house umeonyesha office na Kremlin umeonyesha eneo za wazi.
fact tupuNimependa white house! ni cool place unaweza ukakaa na kutuliza akili ukatengeneza concentration hiyo nyingine zaidi ya kuonyesha ufahari/ufalme sio mahara sahihi kwa utulivu wa fikra!
Ikulu ni mahali patakatifu by J.k Nyerere ukitaka tulizo la akili nenda beachNimependa white house! ni cool place unaweza ukakaa na kutuliza akili ukatengeneza concentration hiyo nyingine zaidi ya kuonyesha ufahari/ufalme sio mahara sahihi kwa utulivu wa fikra!
Duh yetu mh hapo kuna vitu kibao had inapoteza ule mvuto . inabid iwe na mpangilio mzur aiseee
baba J ndani ya Ikilu
Itakua mkulu alitaka kupiga picha akaamua kuchafua meza makusudicallyDuh yetu mh hapo kuna vitu kibao had inapoteza ule mvuto . inabid iwe na mpangilio mzur aiseee