Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

Mwanza city now is great anayesema viwanja vya kijivinjari vichache aje now aone kama ataweza kuzimaliza kwa siku moja tatizo watu wamekariri akifika mwanza anataka apelekwe kwenye the hottest place wakati sehemu za kujivinjari zipo nyingi
 
Rock city Mall ilivyo kwa sasa...

mall_zpshh8rrqd5.jpg


mall1_zpstfbtnw4k.jpg
 
Kakurupuka
wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ila wengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwe na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka. bado nasimama kusahihishwa
 
mbona jaziba sana au hukutaka tuchangie kwenye picha uliyoiweka ndugu?

Sio jazba, nilichokifanya niliikuza ile picha aliye i post mara ya kwanza aliitaja hiyo sehemu, nilipoikuza nikaweka maneno jengo zuri... sasa wewe ukaja kunikosoa... lakini ukiangalia niliye m quote jibu unalipata moja kwa moja...
 
Kakurupuka
wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ilabwengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwa na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka.
 
wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ila wengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwe na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka. bado nasimama kusahihishwa

Bado unakurupuka
 
Sio jazba, nilichokifanya niliikuza ile picha aliye i post mara ya kwanza aliitaja hiyo sehemu, nilipoikuza nikaweka maneno jengo zuri... sasa wewe ukaja kunikosoa... lakini ukiangalia niliye m quote jibu unalipata moja kwa moja...

naamini kakuelewa, aongeze mboga za majani na kupunguza senene!
 
naijua arusha, naijua mwanza, naijua dar, naijua dom. mwanza ni the best huwezi linganisha na arusha hata watu wa arusha wanalifahamu hili. si ukubwa si majengo si mpangilio. nimewahi safiri na watu wa arusha 7 kwa nyakati tofauti, yaani wale born in arusha(mianzini,ungalimited n.k) wote wanapofika mwanza wanaikubali. life ya mwanza nzuri sana. jiji ambalo kwa simple life mwanza inasubiri ni mbeya. kuhusu mpangilio dodoma wako juu, wale CDA wamejitahidi sana
 
Tanga ni kweli imezidiwa na Arusha kwa idadi ya watu lakini Mbeya haijazidiwa na Arusha. Kabla ya kuwa jiji kuna kata ilibidi Arusha manispaa waziombe kutoka Arusha vijijini na Meru ili kuongeza idadi ya watu na eneo. Kuhusu idadi ya watu tafuta Ripoti yote ya Ofisi ya takwimu ya mwaka 2012, kwenye utangulizi wameandika kuwa kuna baadhi ya maeneo waligawa ili kurahisisha uhesabuji wa watu na sio kwa kufuata maeneo ya kiutawala. Wametaja maeneo hayo na Jiji la Mbeya ni moja wapo, kuna baadhi ya kata za jiji hazikuwekwa kama sehemu ya jiji ili kurahisisha uchukuaji takwimu. Kwa hiyo ukichukua idadi ya watu wa zile kata utagundua kuwa idadi ya watu wa Mbeya jiji imezidi ile ya Arusha jiji.

mbeya ni jiji kubwa kuliko mwanza na Arusha sema mbeya na arusha hazina miundombinu japo mbeya kwa sasa wamejitahidi. Arusha ni jiji linalojengwa na serikari lakini mwanza na mbeya wenyeji ndiyo wanao jenga jiji huo ndiyo utofauti uliopo. Tanga ni jiji ambalo halikustahili kupewa jiji ila kwa sababu sijui vigezo vya kuitws jiji
 
Mwanza city now is great anayesema viwanja vya kijivinjari vichache aje now aone kama ataweza kuzimaliza kwa siku moja tatizo watu wamekariri akifika mwanza anataka apelekwe kwenye the hottest place wakati sehemu za kujivinjari zipo nyingi
mkuu way back wakati naishi mwanza nilikua nashangaa kila mgeni akija mwz anataka umepeleke Villa mpk Leo sijaelewa hua wanawaza nini
 
Sio jazba, nilichokifanya niliikuza ile picha aliye i post mara ya kwanza aliitaja hiyo sehemu, nilipoikuza nikaweka maneno jengo zuri... sasa wewe ukaja kunikosoa... lakini ukiangalia niliye m quote jibu unalipata moja kwa moja...

sikukukosoa. niliongezea pale ulipoishia. kama mahali palishatajwa na source ya kwanza basi wafaidikaji wa mchango wangu ni wale ambao hawakuona hiyo source. hata hivyo ulijihisi kuwa ninakukosoa. haikuwa hivyo. na zaidi hiyo picha inayotugonganisha vichwa hapa sio sehem yake. wakati tunachangia kati ya Arusha na Mwanza ni jiji gani bomba. jengo lililoko Moshi halitusaidii sana. kama tafsiri ya kukurupuka inanihusu mimi basi na aliyeweka picha hiyo au kuifanyia modification naye kakurupuka.
 
Wilaya ya Arusha mjini ni ndogo kijiografia lakini sasa tunazungumzia Jiji la Arusha ambalo limeunganishwa na manispaa ya Arumeru .....wilaya ya Arumeru ni kubwa kuliko wilaya ya Arusha mjini hapo kabla ya Arumeru kugawanywa........Arumeru ambayo imeungana kabisa na jiji la Arusha sasa ni manispaa unaweza kujua future ya Arusha.......Kikwete akitoka madarakani Arusha itarudi mahali pake.......

Hee hii mpya, manispaa ya Arumeru? bila shaka wewe ndio umeianzisha.
 
Back
Top Bottom