Tumalize ubishi;CT scanner vs Toyota land cruiser

Tangu lini endoscopic surgery zimeshindikana kufanyika kwa sababu ya kukosa CT. Kwanza kabisa ifahamike kuwa many endoscopic operations are done for diagnostic purposes either for biopsy or exploration.
Labda jaribu kutaja endoscopic operation hata moja ambayo haiwezi kufanyika bila CT.

Jamani tusidanganyane CT scaner ni muhimu sana but wasiwas wangu kwa nchi kama Tanzania kuna wataalamu wa kufanyia kazi majibu ya CT scanner maana siku hizi hata surgery nying za kichwan zinafanywa kwa machine as kuondoa Tumors and other ni kwa machine wanaita transnosal aproach as kupunguza risk kichwan,

Nimebahatika kufika katika health centre kubwa tofaut abroad as south africa,india and UK as b mkubwa ameshaumwa sana so tulipigana huku na huku ili apone, na kote huko machine za kisasa zimewekwa katika block tofaut ambazo ziko equiped kweli kweli mfano alifanyiwa check up moja ya tumbo kwa kumezeshwa kifaa kama kinyoka kidogo kina waya yaan kinashuka tumbon huku kinapiga picha tumbo zima ndan kwa ndan huku screen zilizozunguka zikimwaga data hadi nikaogopa, hiyo niliona apollo india,

So inawezekana JK kapigia hesabu ya full check up test ndo maana kaogopa bei aliyoambiwa, hizo CT scan za usd 80 uwezo wake ni mdogo tukatae tukubali maana mara ya kwanza b mkubwa alipigwa CT scan regency kabla hatujaanza kumsafirisha but kote alipoenda akipigwa CT scan picha zinaonesha vizur na ubora kuliko tuliopigwa regency, hadi DR kule wakashangaa hiki kipimo mbona kimefifia yaani hadi tukaona aibu,

Check up machine needs budget tena a strong budget kama mnabisha tembeeni dunian mjionee hali ilivyo kwenye vipimo, wanachotuzidi india sio madaktari bali ni vipimo vya kisasa na machine za kufanyia surgery za kisasa ndo maana watu wanapona
 
Jamani tusidanganyane CT scaner ni muhimu sana but wasiwas wangu kwa nchi kama Tanzania kuna wataalamu wa kufanyia kazi majibu ya CT scanner maana siku hizi hata surgery nying za kichwan zinafanywa kwa machine as kuondoa Tumors and other ni kwa machine wanaita transnosal aproach as kupunguza risk kichwan,

Nimebahatika kufika katika health centre kubwa tofaut abroad as south africa,india and UK as b mkubwa ameshaumwa sana so tulipigana huku na huku ili apone, na kote huko machine za kisasa zimewekwa katika block tofaut ambazo ziko equiped kweli kweli mfano alifanyiwa check up moja ya tumbo kwa kumezeshwa kifaa kama kinyoka kidogo kina waya yaan kinashuka tumbon huku kinapiga picha tumbo zima ndan kwa ndan huku screen zilizozunguka zikimwaga data hadi nikaogopa, hiyo niliona apollo india,

So inawezekana JK kapigia hesabu ya full check up test ndo maana kaogopa bei aliyoambiwa, hizo CT scan za usd 80 uwezo wake ni mdogo tukatae tukubali maana mara ya kwanza b mkubwa alipigwa CT scan regency kabla hatujaanza kumsafirisha but kote alipoenda akipigwa CT scan picha zinaonesha vizur na ubora kuliko tuliopigwa regency, hadi DR kule wakashangaa hiki kipimo mbona kimefifia yaani hadi tukaona aibu,

Check up machine needs budget tena a strong budget kama mnabisha tembeeni dunian mjionee hali ilivyo kwenye vipimo, wanachotuzidi india sio madaktari bali ni vipimo vya kisasa na machine za kufanyia surgery za kisasa ndo maana watu wanapona

Hicho kinyoka unachokisema aliingiziwa bimkubwa kinaitwa gastroscope, na lengo lake ni kuangalia tumbo na sehemu ya juu ya utumbo kama viko ok. Pia inaweza kutumika kwa kushirikiana na X Ray kuonyesha njia ya bile na pacreatic secretions kama ziko sawa.
Tanzania ni kweli tunahitaji CT scanners ila hazijawa kipaumbele cha kuhakikisha zinapatikana kila mkoa kwa sababu kuna mambo mengi ya msingi bado hatujarekebisha. Inakuwa ni sawa na kusisitiza kununulia computer shule ambazo hazina umeme wala madawati!
 
Tuache kufanya mambo kishabiki bila kuwaza na kuwazua..Je tunafaham kazi ya CT scanner? je tunajua tofauti iliyopo kati ya CT scanner na X ray za kawaida? kwanini watu wang'ang'anie manunuzi ya CT Scanner wakati hat X ray inafaa kwa kazi hii(ingawa sio kwa level ya juu kwani X ray ni one dimension ukilinganisha na CT scanner ambayo ni 3D).
kwani zamani madaktari walikuwawanatumia nini mpaka leo CT scann iwe hoja? waTanzania tuache udhaifu
Inawezekana kweli zamani x-ray peke yake ndio ilikuwa inatumika, na ndiomaana tatizo dogo tu watu walikuwa wanapelekwa nje kutibiwa sababu hatukuwa na hivi vifaa bora kama CT SCANN na MRI. Hivi mtu akipatwa na stroke au kagongwa kichwani na kitu kizito au kapatwa na ajali kaumia kichwa, utampima kwa x-ray?
je x-ray inaweza kuonyesha uvimbe kwenye ubongo? au heamatoma? Kwa maoni yangu hivi vitu ni muhimu sana viwepo kwenye hospitali zetu.
 
kwani CT SCAN moja ni sawa na V8 ngapi? Nisaidie wana jf sababu mim hesabu zimenipitia kando.
 
Kuna changamoto nyingi ktk hizi new modalities tanzania wakuu. Huwezi kuwa na CT Scan, MRI&MRA kila wilaya bila kuwa na someone to interprate the images(radiologists) as well as radiographers. Nijuavyo mimi ni wachache sana, kunahitajika staff wa kutosha wasomeshwe/wasome ili kwenda sambamba na hilo wazo la kuinstall machine kila wilaya
 
Kuna changamoto nyingi ktk hizi new modalities tanzania wakuu. Huwezi kuwa na CT Scan, MRI&MRA kila wilaya bila kuwa na someone to interprate the images(radiologists) as well as radiographers. Nijuavyo mimi ni wachache sana, kunahitajika staff wa kutosha wasomeshwe/wasome ili kwenda sambamba na hilo wazo la kuinstall machine kila wilaya

Basi hata kama siyo kila mkoa basi waweke hata kwa kanda. au nayo ni ghali hebu wataalam tuambieni nako tutakosa wasomaji.
 
katika ile mashindano ya madaktari Bingwa Duniani, Dr mmoja toka japan alijisifu kwa kumwekea mgonjwa wake mikono ya bandia miaka ishirini ilopita na kuwa kijana huyu amefanikiwa kuwa bingwa wa SUMO anayethaminiwa sana Japan hivi sasa. Dr toka Tz ndiye aliibuka mshindi kwa kumwekea katoto/kijana mmoja wa kiume kidafu alichokiokota chini ya mnazi uliopooza baada ya kumkuta mama yake amejifungua chini ya mnazi huo huku mtoto akiwa hana kichwa....
 
Here's a basic overview of CT scanner prices, costs, expenses, and how much other CT scanner options are going to cost you.
The Bread and Butter
The "bread and butter" option applies to those looking to perform almost every kind of scan aside from cardiac. The best bet in balancing your clinical and economic needs with capital acquisition and service agreement costs will be with a 2, 4, 8 or 16 slice CT.
A four or "Quad" slice CT scanner will cost between $85,000-$115,000 installed with a "first scan" warranty. Additional services include applications training, site drawings and annual service agreements (ranging between $60,000-$85,000) and so on.
A sixteen slice scanner will cost between $145,000-$225,000 installed with a "first scan" warranty.
Your manufacture preference is a key component. While popularity can be disputed to all hours of the night - GE, Siemens, Philips and Toshiba are without a doubt the major players in the CT scanner market today.
To Infinity and Beyond
Whether you're looking for marketability or to meet a Physician's or clinical demands, this is when good ol' Woody just won't cut it. If you're looking to do cardiac studies then you'll want the Buzz Lightyear of CT scanners.
A 64 slice CT ranges between $250,000-$450,000 installed with a "first scan" warranty. While site planning and applications training costs may remain the same, the service agreements will cost more (ranging between $100,000-$135,000). After all, the CT Tube alone can cost as much as $220,000 to replace.
And as the slice counts keep going up (128, 256 and even 320 with the Toshiba Aquilion One) the costs and clinical capabilities go up too.

(CT Scanner Price Guide)

VX V8 moja ni wastani wa US$ 180,000 - 200,000 TU.
 
Here's a basic overview of CT scanner prices, costs, expenses, and how much other CT scanner options are going to cost you.
The Bread and Butter
The "bread and butter" option applies to those looking to perform almost every kind of scan aside from cardiac. The best bet in balancing your clinical and economic needs with capital acquisition and service agreement costs will be with a 2, 4, 8 or 16 slice CT.
A four or “Quad” slice CT scanner will cost between $85,000-$115,000 installed with a “first scan” warranty. Additional services include applications training, site drawings and annual service agreements (ranging between $60,000-$85,000) and so on.
A sixteen slice scanner will cost between $145,000-$225,000 installed with a “first scan” warranty.
Your manufacture preference is a key component. While popularity can be disputed to all hours of the night - GE, Siemens, Philips and Toshiba are without a doubt the major players in the CT scanner market today.
To Infinity and Beyond
Whether you’re looking for marketability or to meet a Physician’s or clinical demands, this is when good ol' Woody just won’t cut it. If you're looking to do cardiac studies then you'll want the Buzz Lightyear of CT scanners.
A 64 slice CT ranges between $250,000-$450,000 installed with a “first scan” warranty. While site planning and applications training costs may remain the same, the service agreements will cost more (ranging between $100,000-$135,000). After all, the CT Tube alone can cost as much as $220,000 to replace.
And as the slice counts keep going up (128, 256 and even 320 with the Toshiba Aquilion One) the costs and clinical capabilities go up too.

(CT Scanner Price Guide)

VX V8 moja ni wastani wa US$ 180,000 - 200,000 TU.
 
katika ile mashindano ya madaktari Bingwa Duniani, Dr mmoja toka japan alijisifu kwa kumwekea mgonjwa wake mikono ya bandia miaka ishirini ilopita na kuwa kijana huyu amefanikiwa kuwa bingwa wa SUMO anayethaminiwa sana Japan hivi sasa. Dr toka Tz ndiye aliibuka mshindi kwa kumwekea katoto/kijana mmoja wa kiume kidafu alichokiokota chini ya mnazi uliopooza baada ya kumkuta mama yake amejifungua chini ya mnazi huo huku mtoto akiwa hana kichwa....
Na sasa huyo mtoto ni prezdaa wako!
 

Mkuu sometimes tuwe wakweli. Hiyo bei uliyo-mention labda ni kwa USED CT Scanner. Na kwa bahati mbaya sana kwa sheria "tulizojiwekea wenyewe", serikali hainunui vifaa chakavu. Kwa mashine mpya, nikichukulia mfano wa "Toshiba CT Scanners" ambazo ni one of the best in the world, bei kidogo inatisha. Statement hii nimei-quote kutoka site moja:

"The machine is expensive -- about $2.5 million, versus $1.5 million for a typical CT scanner. But hospitals should be able to pay back the difference in as little as two years, because they might save as much as $3,000 diagnosing a heart attack or stroke."; Ref: http://www.wired.com/gadgets/miscellaneous/news/2008/04/Toshiba_CTScanner

Ukiangalia, kwa uwekezaji wa hiyo mashine, mgonjwa atalipia around $3,000 (T.Shs. 5,000,000/=) hadi $5,000 (T.Shs. 8,000,000/=) ndizo bei za sehemu nyingi duniani gharama ya hicho kipimo!

HATA HIVYO, hoja ya msingi ni kwamba ni wajibu wa Serikali kutoa huduma kwa wananchi wake regardless of gharama; si busara kuacha wananchi wateketee kwa kisingizio cha gharama. Kama mapato ya nchi yangedhibitiwa vizuri, wala hiyo bei siyo issue kama serikali ingeamua na kujali wananchi wake.

Ni kwel acording to PPRA hawaruhusu manunuz ya second hand o used machine. Ila mbona kwa TANESCO wamevunja hyo sheria na kununua mitambo used? Na bunge lilikubal na kusema wazir na katibu wa wizara ya nishat amefanya kaz nzur kuokoa fedha ya nchi. So haitakuwa ajabu ka wizara ya afya wangeleta hzo CT Scan used but functionable
 
Back
Top Bottom