Tumalize mwezi wa 5 na zipi?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,556
Reaction score
860,706
June itakuwa ya moto sana.. Lakini hebu tuangalie za kufungia mwezi huu.. Zinazobamba sana

1. CHADEMA: No reforms no election
2. Gwajima: Utekaji vs wajibu hoja (wana ccm)
3: Gen-Z vs .....
4.chaumma.
5. Ongezea..
Kati ya hizi kuna zitakazopewa shavu zitrend na kuna zitakazominywa zisisikike!

Akili kichwani mwako..muda ni wako, simu ni yako, bundle ni lako.. Utachagua... Ma a na kupanga ni kuchagua...

Jiangalie usije ukachanganyikiwa pamoja nao... Maana bado wakihangaika na Gen-Z kaibuka Gwajima.. Sasa hawajui wamalize na yupi na waendelee na nani... Huko mtukano mkuu ndio huooo🤣
 
Hizo mbili za mwanzo hizo...
 
Ila hizo ndizi zinaita... sema tu umekosea kuzifunga kwenye gazeti. Mwalimu wa afya aliniambia si afya kula mandazi yaliyofungwa kwenye gazeti!
 
Natamani nimlipe mtu, awe ana-supply hizi mzuzu za kuchoma, pamoja na parachichi la Rombo kila siku.
 
Je Yule ndugu yangu muhasisi wa kuhamisha magoli anagombea ubunge Bukoba au atarudi kufundisha UDSM.?


Chauma imekufa tayari kifo cha Asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…