Tumaini langu ni wewe tu!

Tumaini langu ni wewe tu!

A strongest man is the one who stand alone, rafiki wa nini? jipange!
 
A strongest man is the one who stand alone, rafiki wa nini? jipange!

Sasa mankachara mbona ww uko tofauti na maandishi yako? 7bu kama A strongest man is the one who stand alone mbona ww uja stand alone? Na kama ungekuwa ume stand alone ungepita kimya kimya wala ucnge reply post yangu.
 
Sasa mankachara mbona ww uko tofauti na maandishi yako? 7bu kama A strongest man is the one who stand alone mbona ww uja stand alone? Na kama ungekuwa ume stand alone ungepita kimya kimya wala ucnge reply post yangu.
wewe fanya mipango yako na ukiwa kwenye right way hao marafiki watakuja automatic na utachagua unaemtaka. ukimfanya rafiki ndio kila kitu ikifika siku akija kushit hautoweza kufanya chocho. na waweza sema huna bahati than you may regret yourself
 
wewe fanya mipango yako na ukiwa kwenye right way hao marafiki watakuja automatic na utachagua unaemtaka. ukimfanya rafiki ndio kila kitu ikifika siku akija kushit hautoweza kufanya chocho. na waweza sema huna bahati than you may regret yourself

Wazo zuri mkuu ila kwaupande wangu kunawakati nikimalza kazi au cku za weekend naJikuta niko alone dat'z why nakuwa napenda niwe na friends wa kubadilishana mawazo,ushauri na kupeana maharifa ya hapa na pale ili mradi maisha yasonge mbele.
 
Back
Top Bottom