Tumaini langu ni wewe tu!

Tumaini langu ni wewe tu!

Tayo zeboss

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
467
Reaction score
196
Habari za sahizi wana jamvi?
Bilashaka natumaini wewe,yule,wale wote ni wazima!
Pia hata kwa upande wangu nashukuru MUNGU sababu niko na afya tele!

Kwa mara ya kwanza nikiwa kama mgeni ktk hili jukwaa nimeamua kuja na huu uzi ambao uko na challenges tofauti na jinsi mlivyozoea, dhumuni langu lipo hapo chini.! so ukiwa mgeni au mwenyeji milango iko wazi unakaribishwa sana kunishika mkono na kunikaribisha mgeni.

Kutokana na hali ya kimaisha jinsi ilivyo mambo yamekuwa magumu sana! HAJIRA za cku hizi haziangalii elimu,sifa ya muombaji wala veti. Ispokuwa kinachoangaliwa ni "undugu na ujamaa au pesa mbele! VIBARUA masaa mengi malipo kidogo! MAHITAJI MUHIMU yamekuwa juu sana kuzidi mishahara! SIASA ndo kabisaaa wala sisemi, pia ukija ktk swala zima la MUSIC ambalo linaaminiwa kama kitu special cha kuwafariji watu walio poteza matumaini hasa ktk maisha unakuta wasanii wa leo wana deal na kuimba mapenzi tu! Alafu Wana sahau kama kunavitu vingi vya msingi na vya busara hasa ktk jamii sababu cyo watu wote wenye raha ktk maisha na cyo watu wote wanafikiria mapenzi hasa kutokana na hali ya kimaisha jinsi ilivyo! % kubwa ya watu wanahitaji faraja sababu Kuna watu wameshakata tamaa hawana tena matumaini sababu kila wanachofanya wanahisi wanakosea! BONGO MOVIES mapenzi na ushirina! MAGAZETI kila cku mwema na diamond.
MITANDAO YA KIJAMII mapenzi na skendo za wasanii.! Je,tumaini langu liko wapi?

DHUMUNI LANGU
-------------------------

Dhumuni langu la kuandika haya yote nikwamba=> "naitaji rafiki wa kweli mkarimu,mcheshi/mchangamfu kama mm na mwenye challenge za kimaisha! Pia niyule anaye fikiria future kila kunapokucha na pia anaye jiheshimu na cyo yule anayesema tu kuhusu ndoto zake bali niyule anaye zionyesha ili awe kama mfano wa kuigwa! sababu napenda cku 1 niwe mtu flani ktk maisha mwenye furaha,amani na pia mwenye uhuru wa fikra istoshe mwenye uwadhifa wangu na mwenye maendeleo! Sababu wahenga walisema jifunze kwa waliyofanikiwa! So ukiwa kama kijana mwenzangu, baba/mama/babu/bibi au dada angu unakaribishwa sana ku-share ideals na mm kijana mwenzako/mwanao, hasa ushauri,mbinu za mafanikio na story za hapa na pale! Sababu kwa pa1 tunaweza fikia lengo! Kwa aliye interested namkaribisha kwa mikono miwili.

Naishi => DAR ES SALAAM
Simu => +255 713 943 234
Pia unaweza nichek whatsapp kwa no. hiyo hiyo. KARIBU SANA!

Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
 
A%20S%20confused.gif
A%20S%20confused.gif



A%20S%20confused.gif




ata sijaelewa ivi umesemaje
 
correlation iliyopo kati ya TITTLE na CONTENTS (hasa hiyo introduction) za andiko lako ina-reflect kwamba tayari umeshakata tamaa na huna TUMAINI tena, na sasa TUMAINI pekee ulilobakiza ni huyo RAFIKI unaemtafuta mwenye hizo sifa nyiiiiingi lukuki ulizozieleza.

Natambua sana umuhimu wa FRIENDS katika maisha ya mtu, kwani wakati mwingine watu hupata mafanikio kupitia watu/friends, we call it 'NETWORKING'. BUT hutakiwi kukata tamaa na KUPOTEZA TUMAINI kiasi hicho. Simama and keep yo head up, struggle kadri ya uwezo wako bila kuchoka. HAKUNA mtu mwingine wa kukujengea na ku-mastermind maisha yako, bali ni WEWE MWENYEWE!!! You should be the front-liner towards welfare of your life and future. NOBODY ELSE!

So, kama kweli ''unapenda cku 1 uwe mtu flani ktk maisha mwenye furaha, amani na pia mwenye uhuru wa fikra istoshe mwenye uwadhifa wako na mwenye maendeleo'', then wewe mwenyewe kwanza redisha TUMAINI katika nafsi yako na anza kuyafanyia kazi malengo yako ya kimaisha. We all live in HOPE, regardless of hard times and challenges we encounter in daily strives.

Wish you all the best of luck in your movements. Mungu akujaze TUMAINI jipya, na akupe rafiki/marafiki unaostahili.

-Kaveli-
 
Mungu akutie nguvu ktk gumu na jepesi weka tumaini lako kwa Mungu naye atakujibu.Mafanikio mema kumpata rafiki umtakae.
 
​sasa kama wote mnachangamoto za maisha kama ulizozitaja mtaishije???
 
Kajifunze kuandika vzr,afu uje na tittle ya tofauti kidogo itakayoendana na contents within😱😕
 
shukrani sana Kaveli kwa kuelewa nilichomaanisha. pia kwa mtu ambaye ajaelewa asome reply ya kaveli hapo juu alf rafiki ambaye nilikuwa namzungumzia hana tofauti na kaveli sababu nimuelewa sana na ndo maana alipogundua kama post yangu haiko sahihi na wengi hamjanielewa akaamua kuwachambulia hasa kwa wale wanaojua sana kingereza kuliko lugha yao ya kiswahili.

shukrani sana kaka..
 
kama unataka demu funguka

acha chenga chenga ambazo hazina tija
 
​sasa kama wote mnachangamoto za maisha kama ulizozitaja mtaishije???

mkuu kama wote tukiwa na lengo moja inakuwa rahisi sana kufika pale tulipokusudia. hasa tukipeana ushauri pia na maharifa ya hapa na pale sababu challenge huwa zinafanana i mean kiutamshi pia hata kimaandishi ila ndani yake zinautofauti mkubwa sana!
 
Kajifunze kuandika vzr,afu uje na tittle ya tofauti kidogo itakayoendana na contents within😱😕

tatizo letu tunaishi kwa kukariri mfano "tunataka ukicheki movie ya uzuni mwisho wake uwe na furaha! sasa hlo ndo tatzo sababu hii ni digital mkuu mambo yamebadilika sana pia sometimes hzo zinakuwa ni swagger tu zakuwashawishi watu wasome post yako kwa wingi.
 
naomba radhi
i think am not agood friend kwa kuanzia na hii coment hapo juu

Usijali mama yoyo nimekusamehee! istoshe wewe nirafiki mzur na cyo m baya kama unavyo sema 7bu umetambua ulipokosea na kuomba radhi so u're welcome 2 ma world.
 
Usijali mama yoyo nimekusamehee! istoshe wewe nirafiki mzur na cyo m baya kama unavyo sema 7bu umetambua ulipokosea na kuomba radhi so u're welcome 2 ma world.

huo mstari wa mwisho umemaliza kila kitu
 
Mungu akutie nguvu ktk gumu na jepesi weka tumaini lako kwa Mungu naye atakujibu.Mafanikio mema kumpata rafiki umtakae.

Shukrani sana King's daughter kwa maneno ya busara, MUNGU akuzidishie daima uwe na moyo huo huo.
 
Back
Top Bottom