Join Date : 16th July 2012
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received0
Likes Given17
i.Kama anayosema ni ya kweli, basi tunategemea kumsikia kuwa ndiye shahidi namaba moja wa sakata hili.
Sasa kama umetumwa na CCM kachukue ujira wako kwa NapeNi kweli inawezekana nimetumwa na CCM, sijui wewe umetumwa na nani mwenzangu?
CDM kirekebishe mwenendo wake,laa sivyo kinajipaka kinyesi kwa watanzania ambao walishaanza kukiamini
Hadithi hii ni kama ya Tariq Aziz. Kama walijua kuna dalili za fujo, mbona hawakuleta FFU mapema?Ndugu yangu ambaye ni polisi aliyeshiriki kulinda mkutano wa CHADEMA Ndago- Singida amelalamikia sana lawama zinazorushwa kwao kuwa hawakuchukua hatua zozote za kuwalinda CHADEMA.
Kwa mujibu wake anasema kazi waliyoifanya ni kubwa kuliko inavyofikiriwa kwani ni kweli walishapata taarifa kuwa CDM wanakwenda kumtukana Mwigulu na vijana wa CCM walikuwa wamejiandaa kwamba matusi yakirushwa tu wangejibu mapigo. Ilivyokuwa ni kweli vijana wa CCM walikuwepo mkutanoni na ilipotokea Mwikabe kuanza kurusha matusi wengi wakachukia sana na kuanza kulalama Kinyiramba "mukue, "mukue", "mukue", "mukue", wakimaanisha "apigwe" "apigwe", "apigwe", "apigwe".
Hivyo polisi walijitahidi sana kuzuia wale vijana wa CCM wasiwadhuru viongozi wa CHADEMA waliokuwepo pale akiwepo Mnyiramba mwenzao Mayu Dr Kitila Mkumbo. Ndugu yangu alishangaa sana baadaye kuona kundi la vijana wa CHADEMA waliokwenda kuwalinda ndiyo wanafanya fujo kwa kuwakimbiza wenzao na kwenda kumwuua mmoja nyumba ya jirani na wengine wawili kujeruhiwa vibaya sana.
Ila sasa kibao kinawarudia wao polisi eti walishindwa kulinda mkutano wa CHADEMA, ukweli anasema wasingefanya kazi yao wale viongozi wa CHADEMA wangedhurika sana. Kwake yeye hatakuwa tayari kulinda mkutano wa CHADEMA tena.
Source: Mawasiliano yangu na askari ndugu yangu aliyekuwepo kulinda mkutano wa CHADEMA Ndago - Singida.
walipaswa kulinda amani ya mkutano wote siyo viongozi tu ila kuna video inakuja hii ndiyo itasema yote
mkuuSasa kama umetumwa na CCM kachukue ujira wako kwa Nape
hao polisi walichujua uamuzi gani baada ya wana chadema kuanza kuwakimbiza wana ccm?
Goodluck Mwangomango
Natangaza nia mapema: Baada ya kufanya utafiti wa kina na kujiridhisha nimeamua kutangaza nia mapema kwa wanaTunuru wenzangu na kuwa sasa nimejipanga kugombea Ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama CHa Mapinduzi. Naamini Chama kitaniamini na naami ntashinda kwa kuwa Mbunge aliyeko sasa kashindwa kumaliza na kufanya kazi kama alivyotuaidi na kauli mbiu yake ya "AMUA". Naamini Mnyika ndiye mbunge dhaifu kuliko wabunge woote wa Upinzani hivyo nguvu kubwa ntaiweka kuhakikisha chama kinaniami na kwenda kuangusha chelewa iliyoegeshwa ukutani(John Mnyika). Natangaza rasmi kuwa John Mnyika ni Chelewa iliyoegeshwa ukutani, ntamuangusha 2015. Mungu nisaidie
[h=6]Goodluck Mwangomango
[/h][h=6]Natangaza nia mapema: Baada ya kufanya utafiti wa kina na kujiridhisha nimeamua kutangaza nia mapema kwa wanaTunuru wenzangu na kuwa sasa nimejipanga kugombea Ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama CHa Mapinduzi. Naamini Chama kitaniamini na naami ntashinda kwa kuwa Mbunge aliyeko sasa kashindwa kumaliza na kufanya kazi kama alivyotuaidi na kauli mbiu yake ya "AMUA". Naamini Mnyika ndiye mbunge dhaifu kuliko wabunge woote wa Upinzani hivyo nguvu kubwa ntaiweka kuhakikisha chama kinaniami na kwenda kuangusha chelewa iliyoegeshwa ukutani(John Mnyika). Natangaza rasmi kuwa John Mnyika ni Chelewa iliyoegeshwa ukutani, ntamuangusha 2015. Mungu nisaidie[/h]
labda utajipaka poda upendeze zaidi kwa vile hio 2015 serikali ya ccm haitakuwepo wala hilo halijajificha lipo wazi angalia tu mambo ya serikali ccm sikiliza wabunge wenyewe wa ccm wanavyolalamika sio police wala mahakama wala halimashauri kuna unafuu kote giza....namnukuu spika na lukuvi wakimsifia mnyika wewe ni takataka safiGoodluck Mwangomango
Natangaza nia mapema: Baada ya kufanya utafiti wa kina na kujiridhisha nimeamua kutangaza nia mapema kwa wanaTunuru wenzangu na kuwa sasa nimejipanga kugombea Ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama CHa Mapinduzi. Naamini Chama kitaniamini na naami ntashinda kwa kuwa Mbunge aliyeko sasa kashindwa kumaliza na kufanya kazi kama alivyotuaidi na kauli mbiu yake ya "AMUA". Naamini Mnyika ndiye mbunge dhaifu kuliko wabunge woote wa Upinzani hivyo nguvu kubwa ntaiweka kuhakikisha chama kinaniami na kwenda kuangusha chelewa iliyoegeshwa ukutani(John Mnyika). Natangaza rasmi kuwa John Mnyika ni Chelewa iliyoegeshwa ukutani, ntamuangusha 2015. Mungu nisaidie
Huna lolote nyoka wa Mwigulu.... muda mrefu wap mnafi kapokee posho umemaliza
nduguyo,wewe na kiongozi wake nduguyo wote mnatakiwa kubustiwa akili zenu, kabla ya mkutano kuanza viongozi wa cdm walitoa tahadhari kuhusu mpango uliokuwa umepangwa na mwigulu sasa nduguyo hakusikia tahadhari hiyo? Na kama aliisikia walichukua hatua gani yeye pamoja na boss wake?na je mauaji yalitokea saa ngapi?baada ya mkutano au mkutano ukiendelea? Nadhani intelegensia yenu bado imelala fofofofo