Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Sawa Mkuu lakini wenzako wakina Ritz,Zomba Rejao na wengine wengi wanalipwa vibaya mno kwasababu wanajua mwisho wao ni 2015mkuu
Nimetumwa bila ujira mkuu!
Sawa Mkuu lakini wenzako wakina Ritz,Zomba Rejao na wengine wengi wanalipwa vibaya mno kwasababu wanajua mwisho wao ni 2015mkuu
Nimetumwa bila ujira mkuu!
barn karudi vipi bado anakupumulia? akimaliza nijibu..Ukiona mtu anatumia meno kukuuma wakati mnapigana ngumi ujue umeshamlemea, ndivyo ilivyo hapa JF ukitoa hoja yenye mashiko wengine wanakuja na matusi, sikujibu kama ban lamba mwenyewe
barn karudi vipi bado anakupumulia? akimaliza nijibu..
"Ni heri kuwa mjinga kuliko mpumbavu"mkuu
Nimetumwa bila ujira mkuu!
"Ni heri kuwa mjinga kuliko mpumbavu"
Kama huna cha kuandika tulia usitufanye wote ni watoto wadogo.hao vijana walioleta fujo sio wa Ndago walitoka dar kwa Mwigulu na majina tunayo.Na kama hao polisi walikua wamesikia kwanini wasiongeze ulinzi mapema au kuzuia mkutano?
Ondoa upuuzi wako humu ndani.[/QUOTE
Mhhh matusi ooooohh hapana sitakiwi kujibu!
Songela mbwane Joginda we! Kikubwa CDM warudi tena, hamna haja ya maneno meeeeeeeeeeeeeengi wakati tunataka chorus
Huyo askari ndugu yako aache kazi kwani alipaswa kulinda mkutano wote bila kujali vyama,kwa maneno mengine askari wamelinda na kifo cha Mpiinga
Watu wanapoteza nguvu nyingi kujadiliana nawe kumbe mwehu?
Maelezo fyongo kama haya muwe mnawapa watu wasio na uwezo wa kufikiri kama ninyi wenyewe! Unatumia nguvu nyingi kutetea upumbavu badala ya kujenga hoja yenye ushawishi.Walibaki wakiwalinda CDM pale mkutanoni wakatoa taarifa ya kuongezewa nguvu zaidi. Wangeondoka kufuatilia Mnyika na Mayu Dr Kitila Mkumbo wangedhuriwa pia!
Ee maayu mudweenke! Epa tai ne umujukulu wa ke madelu sikukeatuke-ea iintyuki ya kumbele kena penaalushongelia pikyenge mwakaazu?
Kuleegie uulu ashamama!! Kukatale kupyopotwa.
Specific kwa wanandago na iramba magharibi kwa ujumla. You can get google translated
Hao CDM inaonyesha hawana shukurani ,na hapo hawatoki kama waliwavuka polisi na kuingia majumbani kuanza kuua ,ni bora wanemuua huyo polisi kuliko kuingia majumbani kama wanasaka ndezi ,ni hatari sana kuwa na vyama aina hii ,viongozi wanashindwa kuwadhibiti wanachama wao ,na ukiona hivyo ujue hakuna chama hapo.
Iza mbwane ewe, ila nu nyie mutite fujo sana mbwane, mwana muntu wakia mu mikono yanii ze mukua kijenze mbwane!
Special kwako Jogi.
Tuache utani Mnyika hakupswa kwenda Ndago, ni uchokozi!
Uzushi mtupu, vijana wa ccm walienda kufanya nini kwenye mkutano wa CHADEMA?
Hao CDM inaonyesha hawana shukurani ,na hapo hawatoki kama waliwavuka polisi na kuingia majumbani kuanza kuua ,ni bora wanemuua huyo polisi kuliko kuingia majumbani kama wanasaka ndezi ,ni hatari sana kuwa na vyama aina hii ,viongozi wanashindwa kuwadhibiti wanachama wao ,na ukiona hivyo ujue hakuna chama hapo.