MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 7,216
- 13,540
Nyie mnaotiki Mmeona Magari ya Polisi leo? Yatakuja kutawanya watu vituoni, kwa kuwa Tunaondamana na nyie mnaopiga kura hatuna alama usoni wote tutapigwa tutaumia, tutapigana wenyewe kwa wenyewe, Polisi wakiingilia tuna wachangia, nchi inaingia kwenye machafuko.
Huwezi ukatawala nchi amabayo nusu ya watu wake umewaziba mdomo, Sasa tuone hiyo amani iliyokuwa ikiwapumbaza ikiondoka kama mtaendelea kuwa wajinga.
Huwezi ukatawala nchi amabayo nusu ya watu wake umewaziba mdomo, Sasa tuone hiyo amani iliyokuwa ikiwapumbaza ikiondoka kama mtaendelea kuwa wajinga.