Nipo porini mkuu ndio tatizo , na pia hata kwenye kampeni za JPM sijawahi enda hata moja..unaishi dunia gani mkuu?
Shikamoo mzee wangu..!Wakati nipo mtoto mdogo mwaka 1969 nilibebwa na J.K. Nyerere pale wilayani Kilosa Morogoro na kama sikosei mwaka 1975 Tulisalimiana naye kwa kupeana mkono pale Mikumi National Park akiwa anampokea rais Sianok wa Chekv. Pia nimewahi kumuona rais Alli Hassan Mwinyi akifungua kiwanda cha samaki Mwanza, marais waliofuata sijawahi kuwaona kwa live.
Kwani yeye kazungumzia kufa?Hao sio miungu ni watu wanaokunya kama wengine, binadamu wote NI sawa na mavumbini tutarudi
Punguza bangi!!Hao sio miungu ni watu wanaokunya kama wengine, binadamu wote NI sawa na mavumbini tutarudi
Jamaa tumefanana aiseeeee, hata mimi nimemuona kikwete tu kwenye kampeni za mwaka 2005 wilaya ya Magu.1. J. K. Nyerere - Kwenye Tv, YouTube na magazeti.
2. A. H. Mwinyi - Kwenye TV na magazeti.
3. B. W. Mkapa - Kwenye TV, YouTube na magazeti.
4. J. M. Kikwete - Mkutano wa kampeni 2005, Tv, YouTube na magazeti.
5. J. P. Magufuli - Kwenye Tv, YouTube na magazeti.
Kwa kuuliza hivyo kuna ambao wamewaona kupitia pua?1. Mwalimu Julius K. Nyerere.
Nilimuona kwa macho yangu mwaka 1990 wakati Mandela alipokuja Tanzania.
2. Mzee Ali Hassan Mwinyi.
Mwaka 1994 chuo Cha ualimu kigurunyembe.
3. Benjamin William Mkapa.
Edinburgh Scotland.
Rome Italy
Mpwapwa dodoma.
4. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwanjelwa Mbeya.
Misungwi mwanza.
Kakonko biharamulo.
Bujumbura Burundi.
Morogoro pangawe jeshini.
5. John Joseph Pombe Magufuli.
Dodoma.
Kampala Uganda.
Arusha.
Super B.