sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Watu huwa wanasema mnyama hatari asie na huruma ni Mbwa mwitu na fisi lakini mimi niseme kwamba kuna wanadamu ni wanyama hatari kuliko kiumbe chochote
Njlifika mkoa x kukamjlisha dili la milioni kadhaa, ni mali ambayo ilibidi niifuate.
Nilipofika wenyeji wakanipeleka, niliona ni ukarimu maana hata watu wa mkoa huo ukarimu sifa yao, walionekana kufahamina na wahudumu wa lodge.
Nikiwa chumbani hapo nilipigiwa simu, aliepiga alikuwa ni jamaa flan tuliwahi kusoma wote shule moja ila ni miaka mingi ilipita, aliitafuta namba yangu kwa class mates wengine, baada ya kujuliana hali akaniambia kuwa hao jamaa ni rafiki zako au, mi nikamwambia kuna mishe tu nmekuja kupiga, ndio akanipa a-z za hao majamaa kwamba ni matapeli na majambazi, kuna mwengine nae aliwahi kuja kwa style kama yangu akalizwa. aliniambia hakutaka tuonane mwanzoni alipoona nipo nao.
Huyo jamaa nilimtoa laki 2, Usiku tukapanga niondoke hapo.
Yani hapo ilibidi niondoke kininja, nilikata umeme wa lodge kwenye circuit breka, Mlinzi akawa anawapanga wahudumu ili nipate njia ya kuchomoka bila wao kujua, nikafanikiwa kuchomoka, Teksi moja kwa moja wilaya nyingine kabisa.
Usiku nilipigiwa simu na jamaa kwamba mida ya saa tano kuna watu wanne walikuja hapo huku walioniketa wakiwa nje kwenye gari, waligonga sana hodi hadi wakafungua mlango kukuta chumba hakina mtu.
wale wa kwenye gari waliingia nao walianza kuwafokea wale wahudumu, mlinzi nae akawaambia hakuniona,
Walienda nyuma ya lodge huko, mlinzi nae akaenda kusikilizia nyuma ya ukuta basi wakawa wanaambiana kuna mtu kamuuzia huyu fara ramani, wamekosa pesa ndefu, n.k.
Kesho ndio wanapiga simu eti kwamba walikuja asubuhi lodge ila hawakunikuta,
Daah!!!
Njlifika mkoa x kukamjlisha dili la milioni kadhaa, ni mali ambayo ilibidi niifuate.
Nilipofika wenyeji wakanipeleka, niliona ni ukarimu maana hata watu wa mkoa huo ukarimu sifa yao, walionekana kufahamina na wahudumu wa lodge.
Nikiwa chumbani hapo nilipigiwa simu, aliepiga alikuwa ni jamaa flan tuliwahi kusoma wote shule moja ila ni miaka mingi ilipita, aliitafuta namba yangu kwa class mates wengine, baada ya kujuliana hali akaniambia kuwa hao jamaa ni rafiki zako au, mi nikamwambia kuna mishe tu nmekuja kupiga, ndio akanipa a-z za hao majamaa kwamba ni matapeli na majambazi, kuna mwengine nae aliwahi kuja kwa style kama yangu akalizwa. aliniambia hakutaka tuonane mwanzoni alipoona nipo nao.
Huyo jamaa nilimtoa laki 2, Usiku tukapanga niondoke hapo.
Yani hapo ilibidi niondoke kininja, nilikata umeme wa lodge kwenye circuit breka, Mlinzi akawa anawapanga wahudumu ili nipate njia ya kuchomoka bila wao kujua, nikafanikiwa kuchomoka, Teksi moja kwa moja wilaya nyingine kabisa.
Usiku nilipigiwa simu na jamaa kwamba mida ya saa tano kuna watu wanne walikuja hapo huku walioniketa wakiwa nje kwenye gari, waligonga sana hodi hadi wakafungua mlango kukuta chumba hakina mtu.
wale wa kwenye gari waliingia nao walianza kuwafokea wale wahudumu, mlinzi nae akawaambia hakuniona,
Walienda nyuma ya lodge huko, mlinzi nae akaenda kusikilizia nyuma ya ukuta basi wakawa wanaambiana kuna mtu kamuuzia huyu fara ramani, wamekosa pesa ndefu, n.k.
Kesho ndio wanapiga simu eti kwamba walikuja asubuhi lodge ila hawakunikuta,
Daah!!!
Last edited: