rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,501
- 41,932
DuuhWakati nipo O level nilikuwa na mahusiano na binamu yangu wa kike.Sasa kwa kuwa kipindi hiko hatukuwa na simu tulikuwa tunakuna usiku wakati wa kupiga msuli huku tunachat kwa kuandikiana kwenye daftari yani anaandika yeye kisha nanipa na Mimi namjibu kuepusha wazazi wasitusikie tukiongea tunajifanya bize kusoma kumbe tunapanga mipango ya kutiana.Sasa siku moja sijui tulijisahau vipi ebwanaeeee lile daftar likakamatwa na aunt duuu yani nilifedheheka sana mpaka Leo japo aunt hujawah kunambia ila ninapokuwa sipo huwa ananiongelea kuhusu huo mkasa dash ya nilijihisi aibu sana