Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
ikawaje mwisho?Dah mi juzi nimetoka kwa mchepuko nikawa nautumia meseji ya kumshukuru kwa kunikatia kiuno vizuri...dah mara ile msg naona inaenda kwa wife, alipoisoma jicho alilonikata nlitamani kufa yaliyoendelea ni siri yangu