joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Kuachwa ni hatari sana.nakumbuka nikiwa mwaka wa nne chuoni nilipigwa chini na manzi mmoja hivi bila sababu yoyote na ukizingatia siku tatu kabla ya kupigwa chini nilikuwa nimetoka kumfanyia shopping ya laki nne hela ya boom hiyo. Kiukweli nilijuta na kuwazia mkwanja wangu.
Kibaya zaidi akawa tena na mahusiano na jamaa ambae tulikuwa tunakaa wing moja. Hivyo kila nilipokuwa nikimuona moyo ulikuwa unalipuka na kupelekea niishiwe nguvu.
Kibaya zaidi uhusiano wetu ulikuwa unajulikana kwa kila mtu karibia chuo kizima. Hivyo ilikuwa hatari sana.
But niliwapata mademu wawili wasiojua kutenda mtu yani pombe na wadada wauza K.
Hivyo vitu ndivyo vilinisaidia kumsahau na kusahau mkwanja wangu.
Pia alisababisha GPA yangu kushuka kwa sababu muda wote nilikuwa ni mawazo na kunywa pombe tu. Hamu ya kupiga msuli ilipotea kabisa.
Kibaya zaidi akawa tena na mahusiano na jamaa ambae tulikuwa tunakaa wing moja. Hivyo kila nilipokuwa nikimuona moyo ulikuwa unalipuka na kupelekea niishiwe nguvu.
Kibaya zaidi uhusiano wetu ulikuwa unajulikana kwa kila mtu karibia chuo kizima. Hivyo ilikuwa hatari sana.
But niliwapata mademu wawili wasiojua kutenda mtu yani pombe na wadada wauza K.
Hivyo vitu ndivyo vilinisaidia kumsahau na kusahau mkwanja wangu.
Pia alisababisha GPA yangu kushuka kwa sababu muda wote nilikuwa ni mawazo na kunywa pombe tu. Hamu ya kupiga msuli ilipotea kabisa.