Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
- Thread starter
- #81
Kwa sehemu kama Mwanza, Kigoma. Aeusha, Moshi, Tanga, Mbeya gari kama kawalakin Saiv si wanasafilisha kwa ndege
Kwa sehemu kama Mwanza, Kigoma. Aeusha, Moshi, Tanga, Mbeya gari kama kawalakin Saiv si wanasafilisha kwa ndege
Atakuwa amehadithiwa hyowe unaonesha huyajui magari ya magazet kabisa..
Aisee mwenye masikio nadhani amesikiaNdugu zangu na rafiki zangu nawaombeni kabisa msipande hizi kitu.Nakumbuka ilikuwa mwaka 2008 nikapanda hizi gari kwenda Moshi sitosahau nimetoka dar saa 6;20 usiku saa kumi na moja kamili niko njia panda ya himo sitosahau jinsi gani nilirisk maisha yangu.Kuna rafiki yangu alipotea kwenye hizi gari maeneo ya mwanga alikuwa anawahi msiba wa mjomba wake na yeye akatangulia( RIP).Niliapa sitofanya huu ujinga tena.Nawausia maisha ni jinsi unavyopanga na kuzingatia mda usijaribu.
Unawashauri nini wasiowahi kupanda?Hzo ndo gari nazozipenda mm sasa
HahahahAjali utazisikiaje wkt wenyewe ndo wandishi wa habari?
Safari fupi hivyo unalalama, je ingekuwa Mbeya to Dar ?Mimi nilisafiri toka mafinga mpaka mbeya. Sitaisahau ile siku nimeshika roho juu juu tu. Yaan tulitumia saa moja na nusu tu. Gari inatembea utazan ipo angan. Siwezi panda tena gari la magazeti
Chai ipi? Jaribu siku moja kupanda uje uhadithieKuna watu humu wanatupa chai aisee
Ushauri mzuri na murua kabisaaKama huna roho ya plastic hayo magari hayakufai.
Mwendo ni ule ule banalakin Saiv si wanasafilisha kwa ndege
Tupe uzoefu wako mkuu.Me nshaendesha hayo magari ya magazeti na pia IT
Kwahiyo tu tume Rip in advance auMaombi yenu wana jf leo naenda panda magari ya magazeti ili nipate cha kuna ku share na nyie
Elezea uzoefu wako, mara ya kwanza kusafiri na gari la magazeti ulikutana na changamoto gani?
Nini ushauri wako kwa ambao hawajawahi kutumia usafiri huo?
Pumzika kwa aman mkuuMaombi yenu wana jf leo naenda panda magari ya magazeti ili nipate cha kuna ku share na nyie
Kuna moja la mwanachi lilipata ajali, nasikia hali ilivyokuwa ilikuwa ni ngumu kusimuliaIla hayapatagi ajali za hovyo hovyo.