Asante kwa kunielewesha dada carleenHujaelewa kile namaanisha mkuu,
Nadhani sisi huwa hatusemi ila wapo wanaume wapo na wanawake ili kujinufaisha, hapa siongelei suala la kusaidiana kati ya mtu na mtuwe, Hapana, hiyo mbona inaeleweka na nitafanya kwa moyo kabisa hata yeye anafahamu hilo..!
Wapo wanaume kuomba omba pesa kwao ni tabia, na hawa mara nyingi huwa hawana msaada wowote kwako siku wewe ukiwa na shida, they're true definition of parasites.!!
[emoji2][emoji2][emoji2] Mkuu umetisha sanaAwapi!
nikamwambia thaman ya muda nilioutumia kuwa nae ni zaidi ya 200k
Alienda kusomea u-sister
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu imetosha sasa rejesha card iyoJumatano Baby mama alinipa kadi yake ya benki,mpaka sasa hivi nimetumia zaidi ya milioni nane laki mbili na elfu mbili mia mbili hamsini.
๐๐Hujaelewa kile namaanisha mkuu,
Nadhani sisi huwa hatusemi ila wapo wanaume wapo na wanawake ili kujinufaisha, hapa siongelei suala la kusaidiana kati ya mtu na mtuwe, Hapana, hiyo mbona inaeleweka na nitafanya kwa moyo kabisa hata yeye anafahamu hilo..!
Wapo wanaume kuomba omba pesa kwao ni tabia, na hawa mara nyingi huwa hawana msaada wowote kwako siku wewe ukiwa na shida, they're true definition of parasites.!!
Ha haaaa, mkuu hizi sentensi zako zinaashiria uko vema kabisa kwa sasa...yaan ni the real UshimenSikuzote nasemaga hivi.....
Kamwe usitegemee kupata jino lenye afya kwenye mdomo ulio oza
Sent using Jamii Forums mobile app
ayo maneno yake mimi ndo namuweka mjiรฑi usithubutu kuvaa kitu alicho kununulia afu uko na manzi ingine mbn atakuvua shida ka izo mkuu za nn mi sihitaji napambana na hali yangu ata geto kwa manzi siwezi kwenda.Mkuu sio dhambi lkn,km ww unampa anapokea kwanini na wew usipokee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wala hukuwa na haja ya kumuuliza katoa wapi? ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Nakumbuka wakati naanza mahusiano na huyu niliyonaye nilikuwa bado sina ajira uzuri nilikuwa na kabiashara kangu ka tigo pesa nashanga siku anakuja kwenye kiofisi changu akaniambia anatoa pesa nikampa code ya wakala yangu akatoa 700000.ile namwesabia nimpe akasema amenipa niongezea mtaji daaah sikuamini na sikuwahi muomba kabisa. Thanks God ile hela ilikuwa na bahati mtaji ulikuwa na biashara ikatanuka.kuna wanawake wanaletwa kwenye maisha yetu kama ngazi ya mafanikio.hawa ni wakiwaheshimu na kuwajali.
๐ ๐๐๐
Inaonekana unauzoefu wa parasite ๐
Pole sana..
Na wala hukuwa na haja ya kumuuliza katoa wapi? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha!๐ ๐
Wooiiii..!
Wengine ni marafiki tu lakini wanajua kutuchuna walaqhi'..!
Halafu wanaume wadangaji mara nyingi ni wale wenye muonekano mzuri, wanajua uzuri wao unawapa credit wakitaka chochote.!
........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha haaaa, mkuu hizi sentensi zako zinaashiria uko vema kabisa kwa sasa...yaan ni the real Ushimen
Sent using Jamii Forums mobile app