Tuliowahi kufukuzwa kazi tukutane tupeane experience

Ugumu wa kwanza baada ya kuacha kazi ni ile hali ya kuamka asbuhi hujui uende wapi, unajikuta unachukia sehemu ulokua unafanyia kazi hata kupapita hutaki tena marafiki wa kazini wanakutenga na wengine wanakupotezea kabisaa majirani na ndugu wanaanza kukusengenya usipojipanga unaweza kujiua
Mambo ya kuamka asubuhi, mbio mbio kazini, unashinda huko siku nzima, uchelewe kutoka then upite mahali upate moja moto moja baridi(optional), inatutenga sana na jamii inayotuzunguka. Socialization inakuwa zero siku ukitemwa kitaa hapakaliki ni ndani tu then sonona inakutafuna waweza kujiua ka ulvyosema.
Ndugu zangu, Darasa la mtaaani ni bora kuliko la shuleni. Tafuta kijiwe mtaani piga nao stori, hata kama ni kiduka, kwa mchoma maindi, kwenye michezo kama drafti hata kama uchezi tokea mara moja moja.

Siku hizi nyumba za kupanga mpo watatu au wanne lakini mnaweza msionane kabisa kila mtu anatoka kwa wakati wake, ipo siku utaumwa ndani ushindwe hata kupiga simu wanakuta umeoza tayari.
Let socialize each other
 
Dah umenikumbusha mbali sana
Mie nilimaliza chuo bana nikapata kaz kweny hosp fulan pale mwanza, nikaanza kaz kama mwezi mmoja hv nikaanza kulazimishwa kutoa majib ya uongo (yan kama mtu hana malaria nalazimishwa niandike ana malaria ) kusud wauze dawa nikagoma nikawaambia professional haitak hvyoo mie nafanya kama nlivyoo fundishwa .
Nikaambiwa nisihusike na chochote pale kazn niandike barua ya kuacha kaz
Nikagoma pia wakaona mie tatzo ikabid wavunje mkataba wanilipe miez 3 free..
Ila mungu uwa mwema siku zote ukitenda hak nikaacha pale kaz
Baada ya week nikapata kaz sehem nyingne na nikapewa kitengo nisimamie mpk naondoka lile eneo wakawa bado wananihitaji...
Ila kwasasa nafanya vitu vyangu mie kama mie na sitak kuajiriwa
 
Dah umenikumbusha mbali sana
Mie nilimaliza chuo bana nikapata kaz kweny hosp fulan pale mwanza, nikaanza kaz kama mwezi mmoja hv nikaanza kulazimishwa kutoa majib ya uongo (yan kama mtu hana malaria nalazimishwa niandike ana malaria ) kusud wauze dawa nikagoma nikawaambia professional haitak hvyoo mie nafanya kama nlivyoo fundishwa .
Nikaambiwa nisihusike na chochote pale kazn niandike barua ya kuacha kaz
Nikagoma pia wakaona mie tatzo ikabid wavunje mkataba wanilipe miez 3 free..
Ila mungu uwa mwema siku zote ukitenda hak nikaacha pale kaz
Baada ya week nikapata kaz sehem nyingne na nikapewa kitengo nisimamie mpk naondoka lile eneo wakawa bado wananihitaji...
Ila kwasasa nafanya vitu vyangu mie kama mie na sitak kuajiriwa
Kumbe ndivyo inavyokuwa .

Ndio maana watu wanakufa kwa matatizo ya Figo ,ini na mengineyo

Wanamezeshwa dawa Ila hawaumwi kisa hospital ipate hela za dawa

Shenzi sana
 
Dah umenikumbusha mbali sana
Mie nilimaliza chuo bana nikapata kaz kweny hosp fulan pale mwanza, nikaanza kaz kama mwezi mmoja hv nikaanza kulazimishwa kutoa majib ya uongo (yan kama mtu hana malaria nalazimishwa niandike ana malaria ) kusud wauze dawa nikagoma nikawaambia professional haitak hvyoo mie nafanya kama nlivyoo fundishwa .
Nikaambiwa nisihusike na chochote pale kazn niandike barua ya kuacha kaz
Nikagoma pia wakaona mie tatzo ikabid wavunje mkataba wanilipe miez 3 free..
Ila mungu uwa mwema siku zote ukitenda hak nikaacha pale kaz
Baada ya week nikapata kaz sehem nyingne na nikapewa kitengo nisimamie mpk naondoka lile eneo wakawa bado wananihitaji...
Ila kwasasa nafanya vitu vyangu mie kama mie na sitak kuajiriwa
Ni Mungu/MUNGU na sio mungu.
 
hii
Mambo ya kuamka asubuhi, mbio mbio kazini, unashinda huko siku nzima, uchelewe kutoka then upite mahali upate moja moto moja baridi(optional), inatutenga sana na jamii inayotuzunguka. Socialization inakuwa zero siku ukitemwa kitaa hapakaliki ni ndani tu then sonona inakutafuna waweza kujiua ka ulvyosema.
Ndugu zangu, Darasa la mtaaani ni bora kuliko la shuleni. Tafuta kijiwe mtaani piga nao stori, hata kama ni kiduka, kwa mchoma maindi, kwenye michezo kama drafti hata kama uchezi tokea mara moja moja.

Siku hizi nyumba za kupanga mpo watatu au wanne lakini mnaweza msionane kabisa kila mtu anatoka kwa wakati wake, ipo siku utaumwa ndani ushindwe hata kupiga simu wanakuta umeoza tayari.
Let socialize each other
kweli mm walivunja mlango kbs..
 
Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.

Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.

Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary

Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.

Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara ( walimu wanaijua hii midude )

Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.

Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa. Ilikuwa 2013 hiyo.

Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.

Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.

Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.

Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.
Hahaaaa.
 
Mijitu Ina wivu haijui kila mtu ana riziki yake Sasa kuharibiana ndo Nini, ila jiwe licha ya kuwa Rais aliumizwa na mwele kupata shirika la kimataifa, imagine Raisi mzima anaumia alitaka kuona mwele anateseka ili afurahi. Watanzania wengi ni ma sadist mno wanaotaka tu wao wafaidike mie huziita hzo roho za kichawi.
Tujikite kwenye mada, mifano mingine hatuna uhakika nayo.
 
Back
Top Bottom