Toka Mkurugenzi Mkuu TPA bwana Kakoko kufukuzwa kazi, Bandari imedorora sana

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,410
15,993
Itakumbukwa kuwa Mkurugenzi huyu ndiye aliyewekwa na Hayati Magufuli kusimamia bandari zetu of which alifanya vizuri sana hatukusikia mambo ya ovyo ovyo katika bandari zetu Kama mitambo kizima Wala kutofanya Kazi kwa mitandao.

Jamaa alipaweza mno, unaambia Kakoko alikuwa ndio mhasibu mkuu, mkaguzi mkuu wa ndani, mkuu wa wa IT, mkuu wa masoko. Kuna vijana pale walikuwepo pale vihasibu wote walimchukia mkuu yule kwa ufuatiliaji wake na umakini wake katika kusimamia bandari alifanya kazi siku zote za week hajawai kwenda likizo tokea alivyo teuliwa kuwa CEO.

Ilifika hatua madogo hawana peza za kula mchana kwani kila kitu kilibanwa sawasawaa na ukibainika unakwenda kinyume au uko rafu unahamishiwa halmashauri ukafanye Kaz kule.

Jamaa hakutaka masihara, nakumbuka Kuna jamaa alihamishiwa pangani wilayani kule na wakat aliajiriwa TPA hapa DSM kwa kosa tu la kutoa password yake kwa mfanyakazi mwezake atumie ikiwa yake ilizingua.

Kwa ujumla Kakoko ndie alileta ufanisi mzuri bandarini kwani aliweza kuziba mianya yote akabaki na watu wasafi tu.

Hayati Magufuli alimuamini sana Kakoko ndio maana alimtoa tanroad makoo makuu na Kisha kumfanya mtendaji mkuu wa TPA na alifanya vyema na ndio maana magufuli aliweza kujenga na kuanzisha mirandi mikubwa Sana bila hofu.

Na mnukuu "Tanzania Ni nchi tajiri sana”. Yale maneno hayati Magufuli alimaanisha mno kuwa nchi hi inawezekana kupiga hatua ya maendeleo kwa sababu tuna rasilimali za kutosha.

Sasa ajabu alivyofariki tu Magufuli jamaa akafukuzwa Kazi na kuundiwa zengwe ya matumizi mabaya ya ofisi ila TAKUKURU walikuja kudhibitisha kuwa jamaa hana hatia Wala kosa lolote, ishu yake kubwa nalisikia jamaa alikuwa na kiburi mno hadi Kuna kipindi alimdharau Waziri Mkuu hivyo zengwe la kuondolewa kwake TPA ni kwa sababu alikuwa hazihivi na Waziri Mkuu wa sasa.

Naomba huyu bwna arejeshwe asimamie bandari yetu Ni mzalendo na Ni mchapakaz mno, Ni mfatiliaji mno na ubaya Zaid watanzania hawapendi watu wapiga kazi ,mtu akipiga kazi vzr anaonekana ana mvunika boss wake Ni chuki za kipumbavu hzi ndio inatupelekeaa bandari yetu kushindwa kufanya Kaz kwa ufanisi na SAS anakwenda kupewa muarabu asimamie

Mam samia mrejeshe kakoko akuzaidie bandari wakt unajipanga kumtafuta mridhi wake kwani Hawa walioko HV SAS wameshindwa kazi ..
 

Attachments

  • IMG_7806.jpeg
    IMG_7806.jpeg
    37.2 KB · Views: 2
Mkuu inaonekana una za ndani, vipi Erick Hamisi utendaji wake? Kwa nini Samia amemuondoa mapema hivyo?
Yule alikosa ufanisi na uwezo ,uwezo wake Ni mdog ktk management hat wa SAS Hilo, Hilo linamkumba Hana maamuzi ya haraka anajifuta Sana Hadi kuwasikiliza vingozi ishu ndogo ndgo wakt anaweza kufanya pekee ake
 
Hakuna siku bandari imewahi kuwa na ufanisi labda kipindi cha mkoloni, lakini toka Tanganyika imepata uhuru mpaka leo bandarini bado ni sarakasi tu.

Taifa la Tanzania linahitaji Rais dictator ( zaidi ya ule wa JPM), atakayeua wapumbavu wote na kuhakikisha uchumi wa nchi hii unashikiliwa na Watanzania na sio waasia wala waarabu.

Taifa hili limejaa wapumbavu wanaohitaji bakora ili wakae kwenye mstari na kuheshimu Utaifa wao na wa watanganyika wenzao.
 
Ana watoto ma genius huyu mbaba , walikuwa wanaburuzv watu darasani.
Ujue kutofautisha intelligent geneus na bright.
Kuwa na iQ kubwa sio lazima uwe geneus.
Mifano ya gebrus duniani ni kama
1.Elon Musk
2.Albert Einstein
3.Newton.
4.Gauss
5.Bill gate.
6.Steve job
7.Michael Jackson.
8.Mess
Sasa linganisha hao watu na hayo majina.
 
Itakumbukwa kuwa Mkurugenzi huyu ndiye aliyewekwa na Hayati Magufuli kusimamia bandari zetu of which alifanya vizuri sana hatukusikia mambo ya ovyo ovyo katika bandari zetu Kama mitambo kizima Wala kutofanya Kazi kwa mitandao.

Jamaa alipaweza mno, unaambia Kakoko alikuwa ndio mhasibu mkuu, mkaguzi mkuu wa ndani, mkuu wa wa IT, mkuu wa masoko. Kuna vijana pale walikuwepo pale vihasibu wote walimchukia mkuu yule kwa ufuatiliaji wake na umakini wake katika kusimamia bandari alifanya kazi siku zote za week hajawai kwenda likizo tokea alivyo teuliwa kuwa CEO.

Ilifika hatua madogo hawana peza za kula mchana kwani kila kitu kilibanwa sawasawaa na ukibainika unakwenda kinyume au uko rafu unahamishiwa halmashauri ukafanye Kaz kule.

Jamaa hakutaka masihara, nakumbuka Kuna jamaa alihamishiwa pangani wilayani kule na wakat aliajiriwa TPA hapa DSM kwa kosa tu la kutoa password yake kwa mfanyakazi mwezake atumie ikiwa yake ilizingua.

Kwa ujumla Kakoko ndie alileta ufanisi mzuri bandarini kwani aliweza kuziba mianya yote akabaki na watu wasafi tu.

Hayati Magufuli alimuamini sana Kakoko ndio maana alimtoa tanroad makoo makuu na Kisha kumfanya mtendaji mkuu wa TPA na alifanya vyema na ndio maana magufuli aliweza kujenga na kuanzisha mirandi mikubwa Sana bila hofu.

Na mnukuu "Tanzania Ni nchi tajiri sana”. Yale maneno hayati Magufuli alimaanisha mno kuwa nchi hi inawezekana kupiga hatua ya maendeleo kwa sababu tuna rasilimali za kutosha.

Sasa ajabu alivyofariki tu Magufuli jamaa akafukuzwa Kazi na kuundiwa zengwe ya matumizi mabaya ya ofisi ila TAKUKURU walikuja kudhibitisha kuwa jamaa hana hatia Wala kosa lolote, ishu yake kubwa nalisikia jamaa alikuwa na kiburi mno hadi Kuna kipindi alimdharau Waziri Mkuu hivyo zengwe la kuondolewa kwake TPA ni kwa sababu alikuwa hazihivi na Waziri Mkuu wa sasa.

Naomba huyu bwna arejeshwe asimamie bandari yetu Ni mzalendo na Ni mchapakaz mno, Ni mfatiliaji mno na ubaya Zaid watanzania hawapendi watu wapiga kazi ,mtu akipiga kazi vzr anaonekana ana mvunika boss wake Ni chuki za kipumbavu hzi ndio inatupelekeaa bandari yetu kushindwa kufanya Kaz kwa ufanisi na SAS anakwenda kupewa muarabu asimamie

Mam samia mrejeshe kakoko akuzaidie bandari wakt unajipanga kumtafuta mridhi wake kwani Hawa walioko HV SAS wameshindwa kazi ..
Nchi inaonekana kama ni ya madeal madeal hivi
 
Back
Top Bottom