Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Za jioni poleni na uchovu wa kazi
Kama kichwa cha habari hapo kinajieleeza hii inahusu kufukuzwa kazi kisa chawa wa boss au mchepuko wa boss au mke wa boss
Yaani upo ofisini kuna kuwa na mchepuko wake au mkewe au chawa wake
Yangu mimi hilikuwa hivi kuna mteja walikuwa wanatukanana na mfanyakazi mwezangu kosa lilikuwa lao wote lakini pale offisin palikuwa na chawa yule chawa akarekodi lile tukio akamtumia boss
Baadae boss akatuma kwenye group ile voice note na kutoa kauli kuwa walio sikika kwenye hiyo voice note kesho sitaki kuwaona offisin akamtaja mtu aandae barua za kufukuzwa kazi
Mimi sikuhusika hila nilienda chemba kuchat na mtu tukizungumzia lile swala maana ouna wengine waliingilia ugomvi basi nisijue yule ndio chawa halisi aka screenshoot zile sms akamtumia boss nisijue na amka asubuhi sijawasha data nafika ofisini watu wananishangaa umekuja uku wananiuliza umekuja kuomba msamaha
Nilishutka kidog nikauliza walijibu ingia group kuingia kwenye group nikakuta zile text zangu zote yule jamaa yeye alikuwa amefuta Zile alizokuwa anamponda boss ndio ulikuwa mwisho wangu wa kufanya kazi pale posta nilimchukia sana yule jamaaa
Wewe kwako ipoje?
Kama kichwa cha habari hapo kinajieleeza hii inahusu kufukuzwa kazi kisa chawa wa boss au mchepuko wa boss au mke wa boss
Yaani upo ofisini kuna kuwa na mchepuko wake au mkewe au chawa wake
Yangu mimi hilikuwa hivi kuna mteja walikuwa wanatukanana na mfanyakazi mwezangu kosa lilikuwa lao wote lakini pale offisin palikuwa na chawa yule chawa akarekodi lile tukio akamtumia boss
Baadae boss akatuma kwenye group ile voice note na kutoa kauli kuwa walio sikika kwenye hiyo voice note kesho sitaki kuwaona offisin akamtaja mtu aandae barua za kufukuzwa kazi
Mimi sikuhusika hila nilienda chemba kuchat na mtu tukizungumzia lile swala maana ouna wengine waliingilia ugomvi basi nisijue yule ndio chawa halisi aka screenshoot zile sms akamtumia boss nisijue na amka asubuhi sijawasha data nafika ofisini watu wananishangaa umekuja uku wananiuliza umekuja kuomba msamaha
Nilishutka kidog nikauliza walijibu ingia group kuingia kwenye group nikakuta zile text zangu zote yule jamaa yeye alikuwa amefuta Zile alizokuwa anamponda boss ndio ulikuwa mwisho wangu wa kufanya kazi pale posta nilimchukia sana yule jamaaa
Wewe kwako ipoje?