Tuliounguza account za Forex trading

Choosing A Broker
(And Suggestions)

Unawezaje kuchagua broker? Kuna mengi ambayo unaweza kuyatilia maanani kabla hujachagua broker, na hvyo kukuepushia kuhamahama kwa mabroker tofauti tofauti.

Kuna waswahili wanasema "Utazunguka mabucha yote nyama ni ile ile", Trust me, wanakudanganya... Kuna mahali utapata nyama ya jana, kwingine ya juzi na kwngne ya leo leo


Hebu tuone sifa nzuri za mabroker.

1. Urahisi wa kuweka na kutoa pesa.

Hii ndo sifa ya kwanza na ya muhimu kuliko zote. Tunatrade ili tupate pesa, na pesa inayopatikana iweze kutumika pale inapohtajika.
Kama kuna ugumu katika kutoa pesa, then ni kama kuweka pesa bank isiyo na ATM, ambayo ukichelewa muda wa kazi ijumaa hata upatwe na tatzo jms, itabd usubiri j3... Mengine mnayafahamu...

2. Regulated Broker
Ni muhimu broker unayemtumia akawa regulated, kutrade na broker asiye regulated ni sawa na kumkopesha mtu laki tano, na hali unajua anadaiwa zaidi ya milioni.... Trust me, likitokea la kutoa (sio mara nyingi lakini), hauna hata wa kum consult.

3. Standard and Mini Accounts.
Standard akaunt ni zile ambazo ukideposit $1 utaiona hvyo katika trading platform, na mini ni zile ambazo ukideposit $1 katika trading platform unakuta 10 au 100 ( kuwa makini, sijaandika $10 au $100, kwa sbb haziwi dola tena AFTER BEING CONVERTED )
Mini akaunti ni MUHIMU SANA kwa newbies na wanaotaka kutest new strategies (this is half real half demo)

4. Customer Care...
Wote tunajua inavyoboa service provider anapozingua, hafu unampgia either hapokei, au hajibu ili kukupa msaada...

5. Unataka kutrade pair zipi?
Japo wote ni mabroker, co wote wana pair zinazofanana... Kuna wengine wana pair nyingi zaidi kuliko wengine. Kuna wengine wana Cryptocurrency wengine hawana... Ni muhimu kujua pair unayo itaka kama ipo, hasa pair ambazo ni Exotics... Ushawah ona pair inaitwa NOKSEK? au SGDJPY? Au EURPLN?

6. SPREADS.
hadi nimeandika kwa herufi kubwa!

Small spreads with commission? A bit large without commission? Ukikosea hapa, ni tabu tupu!




Suggestions:

JAFX ( JAFX - Trade With A Reputable Forex Broker )
Huyu sifa yake kubwa ni Cryptocurrency. Kuna cryptocurrencies zaidi ya 60, kwa huyu broker, na vile cryptos unaweza trade wakati wowote, kwa broker huyu hakuna jumamosi wala jumapili. Trade wakati wowote upendao.
Spreads zake kwa pair nyngne ni kubwa lakini bearable, ila Cryptocurrency ni ndogo sana ukilinganisha na mabroker wengne.





Templer FX ( TemplerFX | Trade With Standard And Cent Accounts
Sifa yake kubwa ni kuweka na kutoa kwa Mpesa, na wanajitahd katika customer services... Pia huyu ana Cent Accounts.


Pepperstone ( Pepperstone | Forex Trading with Pepperstone - Australia's Fastest Growing Forex Broker )
Broker wa australia ambaye akaunti yake ya razor ( small spreads with commission )sometimes hufika spreads zero kwa baadhi ya pair... Ugumu unakuja kwenye kufund, hana mpesa, lakini ana options nyingi, ikiwemo skrill ( www.skrill.com )na neteller.




Tickmill Tickmill - Trade With Trusted Forex Broker
Moja ya broker wanaoheshimika sana. Standard account yao ina spreads kubwa, pro ina spreads ndogo ikiwa na commission.
Kwa sasa wapo katika majaribio ya kudeposit kwa kutumia mpesa, airtel na tigopesa

Kuna sifa nyngne? Changia kwa reply ya post hii.

Trade Safely!
See You At The Top!
 
Naona mzee unasaka mshiko kwa njia nyingine (http://bit.ly/2hrv3Yo). Haya bwana wewe endelea kukuza mtaji wako!
 
Join the Most trustworthy broker!!!
Templerfx!!!!
- Easy to Deposit your investment capital by Mobile Money Transfer (M-Pesa, Airtel Money) Just less than an hour, your account will be funded.
- Easy to withdraw you money(M-Pesa, Airtel Money) less than an hour your money will be in your phone ready to get from WAKALA!!
-Quick and Easy customer services.

Very Easy to join!!!
Click on the link below open account
TemplerFX | Promo

Kwa wale Wa forex templerfx ni broker mzuri sana kwa mazingira yetu ya bongo , ni rahisi kujisajili lakini pia njia za kutuma na kupokea Pesa yako ni rahisi mno!

Minimum deposit ni $1=Tsh2,240 tu
 
ANZA NA MTAJI WA BURE WA $30 [NO DEPOSIT BONUS] YA TEMPLER.

[TERMS AND CONDITIONS LINKED]

Huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine, kama mimi, tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....

Ikumbukwe kwamba, Templer pia atakupa uwezo wa kufund na kuwithdraw pesa zako kupitia Mpesa, kama utachagua kuendelea kumtumia, hata baada ya kupoteza hyo $30.

(Don't Worry, Hautodaiwa kama ukiiunguza)

ANGALIZO:
Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.


HATUA ZA KUFUATA:
1. Fungua akaunti mpya hapa:

Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus

2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.
Menu > MyTemplerFX> Verifications

3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok

4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:

NDB30JN42017

Then submit.

5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.

6. Kama huna MT4 for Android ,download hapa:

MetaTrader 4 – Applications for Android - Google Play

Start Trading!!
TRADE SAFELY!


Ukihitaji msaada wowote kuhusu kuipata hii bonus, nicheck inbox



Terms And Conditions hapa:

TemplerFX No Deposit Bonus Agreements
 

Mkuu umeunguza bei gani jumla,

Aisee acc ikiungua unaweza usile chakula
 
mpaka sasa nishaunguza 70$ ..ila hapo mwanzo sikuwa nimeielewa forexx vizuri....ila siku zinavyozidi kwenda naona nakuwa expert hasa kwenye naked forex.....nimedeposit templer 10$ ijumaa iliyopita na mpaka sasa nishawithdraw 20$ na account inasoma 40$ .
Kiufupi nikwamba forex ni real and legit business sema inahitaji mtuu mwenye umakini mkubwa na anayeweza kuona wengi wasipoona...unaweza usitumie indicators hata kidogo ila kwa mtazamo sahihi wa trends plus resistance na supports, ukapiga pesa mpaka bhaac....na wala news zisikudhuru to large extent.
Ila you have to know that bila kuliwa huli.... usitegemee account history ikawa na profits tu, loss lazima ziwepo. Ila loss tatu kwenye win kumi , kuna shida gani ?
 
bila inducator mbna unapga mamb sana tu ni mwendo wa supply na demand zone plus trendilines mpera mpera tuuuuh
 
FEW IMPORTANT LINKS:

FOREX TRADERS OF TZ:
Forex Traders Tz

FREE FOREX CLASSES:
SIMPLE FOREX STRATEGY GROUP

FREE FOREX BOOKS:
FX Trading Books

FREE FOREX SIGNALS:
+255MillionairesFX

FREE FOREX SIGNALS:
FreeForexSignals

TEMPLER BROKER:
Templer FX Trader

PEPPERSTONE BROKER:
Pepperstone - Australia's Fastest Forex Broker

TICKMILL BROKER:
Tickmill - Trade With First Class Forex Broker

FBS $50 NO DEPOSIT BONUS :
FBS $50 Welcome Bonus - Forex

HOW TO USE DUSUPAY (ONCE WAS TICKMILL MOBILE FUNDING METHOD):

FOREX VIDEO: THE SIGNS:
 
Commision things au sio,

Acheni watu wafanye tafiti wenyewe broker gani mzuri

Sio baadae waanze kuli hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…