Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,270
Hizo za kukosea kituo zilisha nikost sana.Mwaka 2000 nikiwa kidato cha 3 nilishuka kituo tofauti na malengo hivyo nilitembea zaidi ya 80km( nilikuwa natoka kigoma shuleni)
Hizo za kukosea kituo zilisha nikost sana.Mwaka 2000 nikiwa kidato cha 3 nilishuka kituo tofauti na malengo hivyo nilitembea zaidi ya 80km( nilikuwa natoka kigoma shuleni)
kama kweli umetisha mkuu.Sipigi fix mzee ni ukweli kabisa nishatembea sana umbali mrefu Hydom - Manyara hadi Babati.
Hata nikiwa Tanzania huwa naamua weekend natembea kutoka Maikocheni hadi Kimara naamua tu na wala sioni umbali wowote
hahaha kuna wababe humu wanakatua hadi kilometa 200 mkuu, mia ni kawaida.Mnaotumia hili neno km muwa mnajua vipimo vizuri, eti km 100 kwa miguu!!! Weeee acha kbs
Binafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100.
Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi.
ilikuwa nimeelekea msibani na nilikuwa na nauli ya kwenda tu, kwa sababu nikapata company ya mtu ambaye hakuwa hata na hiyo ya kwenda tukaungana na kuanza kupasua pori mdogo mdogo.
Safari ilihusisha kupanda na kushuka milima, mvua ilinyesha na kukatika karibu mara nne ila hatukukata tamaa.
Ninajua watu wametembea kwa miguu umbali mrefu kwa sababu nyingi zikiwemo:
kukoswa nauli
kutafuta kazi
Kuepuka hatari
hakuna namna ya kusafiri
na sababu nyingine nyingi ...
karibu utujuze
mkuu safi sana.Tulikuwa JKT Bulombora. 2ic Major Mzena akaitisha mkutano wa Kikosi kizima jioni moja. Tumefika Conference Hall kikosi kizima kombania zote, tumekaa tumetulia na kombati zetu safi, baada ya roll call, tumekaa chini. Muda Afande Mzena akaingia. Afande RSM Mbilinyi baada ya kumsalimia kwa saluti ya ukakamavu sana, akaanza kumpa maelezo,... AFANDE MBELE YAKO KUNA WAPIGANAJI SO AND SO,... NA SERVICE MEN SO AND SO (RSM akataja idadi).....kumbe 2iC akaona idadi ya watu haiko sawa kulingana na takwimu za kikosi, imekuwa ndogo, akauliza WANGAPI? RSM akarudia tena kutaja idadi aliyoitaja mwanzo. Pale pale Afande Mzena,Aakaamuru kwa kusema "kesho asubuhi saa 12 hapa! Tukaanza kugawanwa tena,.. foleni, foleni,....na hatimaye tukatawanyishwa tukarudi kwenye mahanga yetu. Kesho yake saa 12 asubuhi kikosi kizima safari hii kwa idadi kamili ya watu, kikawa kipo tena mahali pale. Afande Mzena wala hakuonekana tena, akaja msaidizi wake CI Major Mtekele. Alipoingia tu conference room, akatamka maneno haya ROOT MUCH MPAKA NSIMBO, MIMI NITAKUJA NA PAJERO LANGU NINAWAFUATA! I see, Nsimbo iko km si chini ya 40 kutoka Bulombora JKT. Zoezi likabadilika ghafula, ikawa ni root much!. Nikajaribu kutengeneza mbinu niingie kwenye kundi la wapishi, ikashindikana, nikaamua kutoroka kupitia mahanga ya wasichana SERENGETI, nikakutana na msichana anakimbia amevurumushwa huko, ananiambia makanyaga huko kuna MP. I see, tulitembea root much mpaka Nsimbo kwenda na kurudi, km zaidi ya 80! I will never forget that day. Jeshini nilikuwa na tecnik za kukwepa visanga na kwa akili nyingi sana, lakini zote siku hiyo zilikwama!
24hrs but ni ngumu kutembea 24 hrs continuously.Anayesema katembea km 100 siku mbili sawa ila one day,sio kweliKwani siku moja kiidadi ina saa ngapi?
Km 100 nyingi au chache?Nadhani nimetembea saana katika maisha yangu....saana...
Nashangaa kuona watu wanatumia siku nzima kutembea km100.
Watu wanafanya masihara na km 100Km 100 kwa siku hapana asee
KARIBU SANA HAPO Tube je ?Nilitembea kwa miguu siku England waliposhinda Rugby World Cup. Barabara zilifungwa nilikuwa ninarudi nyumbani nilitembea mbali sana. Kutoka Holborn mpaka Elephant and Castle.
Huo umbali mtoto wa kijijini Kila siku anatembea kwenda shule na kurudiNikisoma post za watu wa dar es salaam naishia kucheka. Mtu anasema ametembea toka ubungo mpaka buguruni Sasa huo umbali gani huo?
Mkuu kawaida tu mie mdogo wangu alikuwa akija kunitembelea morogoro enzi nakaa hapo tulikuwa tunazunguka huo mji kwa mguu.Tunaanzia Mazimbu IpoIpo mpaka Town,tunakatiza katikati humo mpaka Nanenane then tunarudi kupitia Msamvu,Muslim University mpaka Ipo Ipo Tunatembea for funny tu.Mdogo mdogo tukifika sehemu tunakaa tunakunywa soda then tunaendelea na matembezi.Nataka nianze huo utamaduni hapa Dar.Trip ya Kwanza Natest Mwenge Lugalo Masana Goba mpaka Mbezi,kurudi napanda garisawa mkuu unakatizia kichangani vipi umbali wake unauonaje?
Jua la dar unalijua vizuri mkuu?Mkuu kawaida tu mie mdogo wangu alikuwa akija kunitembelea morogoro enzi nakaa hapo tulikuwa tunazunguka huo mji kwa mguu.Tunaanzia Mazimbu IpoIpo mpaka Town,tunakatiza katikati humo mpaka Nanenane then tunarudi kupitia Msamvu,Muslim University mpaka Ipo Ipo Tunatembea for funny tu.Mdogo mdogo tukifika sehemu tunakaa tunakunywa soda then tunaendelea na matembezi.Nataka nianze huo utamaduni hapa Dar.Trip ya Kwanza Natest Mwenge Lugalo Masana Goba mpaka Mbezi,kurudi napanda gari
Joto ndo tatizo tena msimu kama huu ni hatariiiii sana,kwa hili jotoJua la dar unalijua vizuri mkuu?
labda upige hizo ruti usiku ila dar hii
Jua litakukwmisha na ukijikaza hata siku 1
kesho utaamka umekua mweusi kama tairi la boxa
Tatizo usiku sio salama sana vibaka nkJua la dar unalijua vizuri mkuu?
labda upige hizo ruti usiku ila dar hii
Jua litakukwmisha na ukijikaza hata siku 1
kesho utaamka umekua mweusi kama tairi la boxa
bora hata vibaka utawakimbia,usiku ukikutwa sehemu zngine difender imekubeba.Tatizo usiku sio salama sana vibaka nk