Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
majanga sikupewaMkuu hahaahaah! Hata hukupewa majibu na mwl wa drs la 7, angalau upitie shule za St.Kayumba!
majanga sikupewaMkuu hahaahaah! Hata hukupewa majibu na mwl wa drs la 7, angalau upitie shule za St.Kayumba!
Mkuu kusoma kwako kwa shida usijione una akili nani kakwambia elimu ni shidaWatu tume hustle alaf unakutana na mtoto wa feza chuo kikuu anajikuta yeye ndio msomi.
Wakati walikua wanatafuniwa then wanameza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia uwo ndio ukweli mkuu.Mkuu kusoma kwako kwa shida usijione una akili nani kakwambia elimu ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Da mkuu mimi nilikuwa miburani mwaka huo huo hatari sana now napiga md apa udsm na ndio tupo katika pepa tunakaza tu ivo ivo.Tandika Secondary School.
Aiseee noma ile kuingia form 1 2009 watu shazi mikondo kuanzia A-H daaaah ndo brother wa kitaa akanisanua jinsi ya kutoboa katani. Na mimi sikulemba naamkia mchikichini napiga vitu then nakuja shule kuitikia jina nasepa home mwisho wa siku nikatoboa tu Ndabo now nakula boom tu daadeq
hz twishen co shule za kata!
Asilimia kubwa tuliosoma kata, ndo yalikuwa machimbo. Co mbaya ku link na huko. Mimi zilinisaidia sana nikichangia bati kwa pindi, nikaona nazo nizikumbuke mkuu.hz twishen co shule za kata!
au kwakuwa umesoma kata ndo mpk uelewa umedumaa
co tatzo wenyew tumesoma huko kwa hidden mbunga m.physics unga white complex machine nkAsilimia kubwa tuliosoma kata, ndo yalikuwa machimbo. Co mbaya ku link na huko. Mimi zilinisaidia sana nikichangia bati kwa pindi, nikaona nazo nizikumbuke mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jembeee mzee baba kama mm vileDah klerruu sec , picha linaanza natokea second selection , naingia form 1, mwez wa 4 baada ya kuwa mchunga ng'ombe na mbuzi, naingia kwa kuchelewa lkn mtihan wa mwez wa 6 nafaulu kwa wastani, nakaza sana ,form 2 natoboa japo nakuwa mtoro wa kiwango cha juu, naanza kuwa nashinda library kichangani misheni ya roman , naanza kuyapenda masomo ya sayansi, kemia ,physics yananikubali , hesabu inanikataa, kwakuwa form 1 topic hazikuuisha, na sina hela za twisheni, form 2 nakaza, necta hesabu napata D, chemistry B physics C ,history B Geo B, nayakumbuka haya,
Nakaza hatimaye form 4, nafaulu kwa division 2 ya 21, huku nikiwa mtoro kupindukiwa hata graduation sikwenda, shukran kwa shule niliyosoma ,Practical tulifanyia kwenye maabara za chuo cha ualimu cha klerruu, naenda A level PCM , shule ya kata ndio tunakuwa wa kwanza kuianzisha, yaan ni mpya, ila shukran maabara ipo na ni mpya, ila changamoto za walimu kama kawa, nakuwa mtoro kupindukia had nataka kufukuzwa shule, walimu wanakuwa wavivu hawamalizi topic, nasoma msuli yatima, tukifunga likizo wwnzangu wanaenda dar kwakina mudy, mkandawile na wengineo ,mimi huyo home iringa, napiga,msuli peke yangu sebulen na barid ya iringa, maana mtaani aliyefaulu kusoma PCM ni mimi pekee, nafikia mahala nakuwa nakata tamaa, lakini nakaza, mwisho wa siku nafaulu KWENDA UDSM , hiyo 2013
Maisha ya shule ya kata yamenifunza mengi ,
NAMSHUKURU ALIYELETA WAZO LA SHULE ZA KATA MAANA NINGEBAKI KUWA MCHUNGA MBUZI,