Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Mimi mdogo wenu wa mwisho (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Kwanini walimu wa vyuo vikuu wanakuwa ni watu wenye ufaulu wa alama za juu sana katika masomo yao (GPA kubwa) tofauti na walimu wa shule za msingi na secondary ilhali huku chini kabisa ndio nguzo muhimu ya kujenga wanafunzi bora?
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna mtoto mmoja wa shangazi yangu (jina kapuni) alihitimu kidato cha sita mwaka jana na kupata ufaulu hafifu wa division 3 ya mwisho kabisa.
Baada ya wazazi wake kushindwa kumudu kumlipia ada ya kujiunga na chuo kikuu kwa ufadhili binafsi watu wanamshauri KWANINI ASIOMBE HATA UALIMU kauli ambayo huwa inanikera sana nikilinganisha na mfumo unaotumiwa na vyuo vikuu wa kupata walimu wao kwa kubakisha wanafunzi wale wenye ufaulu wa alama za juu sana.
Kwanini mtu akipata ufaulu hafifu anashauriwa aombe walau ualimu? Kwani ualimu ndio kimbilio la watu walioshindwa shule?
Kwanini kuna hali kama hii? What's the logic/rationale behind all this?
NB: TUENDELEE KUWA WAZALENDO NA TUIPENDE TANZANIA KWA MAANA USTAWI WA NCHI YETU UNAANZIA KWANGU MIMI PAMOJA NA WEWE
Mimi mdogo wenu wa mwisho (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu;
Kwanini walimu wa vyuo vikuu wanakuwa ni watu wenye ufaulu wa alama za juu sana katika masomo yao (GPA kubwa) tofauti na walimu wa shule za msingi na secondary ilhali huku chini kabisa ndio nguzo muhimu ya kujenga wanafunzi bora?
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna mtoto mmoja wa shangazi yangu (jina kapuni) alihitimu kidato cha sita mwaka jana na kupata ufaulu hafifu wa division 3 ya mwisho kabisa.
Baada ya wazazi wake kushindwa kumudu kumlipia ada ya kujiunga na chuo kikuu kwa ufadhili binafsi watu wanamshauri KWANINI ASIOMBE HATA UALIMU kauli ambayo huwa inanikera sana nikilinganisha na mfumo unaotumiwa na vyuo vikuu wa kupata walimu wao kwa kubakisha wanafunzi wale wenye ufaulu wa alama za juu sana.
Kwanini mtu akipata ufaulu hafifu anashauriwa aombe walau ualimu? Kwani ualimu ndio kimbilio la watu walioshindwa shule?
Kwanini kuna hali kama hii? What's the logic/rationale behind all this?
NB: TUENDELEE KUWA WAZALENDO NA TUIPENDE TANZANIA KWA MAANA USTAWI WA NCHI YETU UNAANZIA KWANGU MIMI PAMOJA NA WEWE