Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,067
- 3,598
Wadau za asubuhi? Tuliosoma Old moshi secondary tuje hapa tu share ideas, karibuni
Mimi nilikuwa na pitaa tu au kwenda ku check boliiWadau za asubuhi? Tuliosoma Old moshi secondary tuje hapa tu share ideas, karibuni
Kibo hehe na kolila walishatulizwa kitambo dingi tukabaki sie mashujaa yandiks funga kamba polisi na migambo rau, kitandu na chuo Cha ushirikaSi kweli,Kibohehe Ndio walikuwa wajanja wa mkoa mzima.Old Moshi walikuwa watoto Wa Nyumbani tu jamani
Mkuu,
Wa mawenzi day ya mama Kisanji watoto wa powder na lipstic ninyi mta comment kwa mzee shayo wa ndizi hapo getini by Dr.key NooNgoja wa Mawenzi tupite kimya
Mimi ni ya mshana...shayo alikwepo getiniWa mawenzi day ya mama Kisanji watoto wa powder na lipstic ninyi mta comment kwa mzee shayo wa ndizi hapo getini by Dr.key Noo
Mimi ni ya mshana...shayo alikwepo getini
Sikumbuki vizuri ila kuna "Minja" wa phyisics , Nyange wa maths, kuna madam wa food & nutritions nimemsahau jina ila alikuwa mwembamba alikufa mwaka juzi, kuna madam Tarimo wa biologyMshana Ni baada ya mama Kisanji siyo? Mwl kweka ulimkuta?
Ok Mkuu hapo namkumbuka mama minja na nyange before hapo nyange alikuwa Bwiru boys na Domo lake anavyopiga mikwara balaaSikumbuki vizuri ila kuna "Minja" wa phyisics , Nyange wa maths, kuna madam wa food & nutritions nimemsahau jina ila alikuwa mwembamba alikufa mwaka juzi, kuna madam Tarimo wa biology