60 Bob back in the days na ilikuwa hot cakeInsyder magazineView attachment 1231287
Umeharibu kwenye "Hawa watu weupe ni intelligent sana"Imesaidia in one way. Sana sana kwenye kwa hawa foreign investors. Ila wabongp wanakuwa na wivu kiasi flani. Nakumbumbuka nilikuwa na kikao flani hivi na wazungu nikawa nawapa shule kwenye industry yangu mwisho wakaniuliza hivi wewe umesoma Tz? Nikawapa background yangu wakasema ndio maana upo vizuri. Hawa watu weupe ni intelligent sana sijui walijuaje.
Ha ha ha. Ngeli ni shida Bongo.Hongera. Mi nimesoma jomo kenyatta primary school. Baada ya hapo nikaenda kwale high school. Kisha nikarudi bongo kumalizia vyuo vyetu ma lecturer wanaochanganya lugha ya kiingereza ba kiswahili darasani