- Thread starter
- #61
Eldoret chuo gani mkuu. Utakuwa umepitia njia za mzee lowasaElidoret nikisoma LLB
Eldoret chuo gani mkuu. Utakuwa umepitia njia za mzee lowasaElidoret nikisoma LLB
Imesaidia in one way. Sana sana kwenye kwa hawa foreign investors. Ila wabongp wanakuwa na wivu kiasi flani. Nakumbumbuka nilikuwa na kikao flani hivi na wazungu nikawa nawapa shule kwenye industry yangu mwisho wakaniuliza hivi wewe umesoma Tz? Nikawapa background yangu wakasema ndio maana upo vizuri. Hawa watu weupe ni intelligent sana sijui walijuaje.Vp mkuu, kusoma Kenya kumekusaidia nini kwenye maisha yako au mazingira ya kazi?
Imesaidia in one way. Sana sana kwenye kwa hawa foreign investors. Ila wabongp wanakuwa na wivu kiasi flani. Nakumbumbuka nilikuwa na kikao flani hivi na wazungu nikawa nawapa shule kwenye industry yangu mwisho wakaniuliza hivi wewe umesoma Tz? Nikawapa background yangu wakasema ndio maana upo vizuri. Hawa watu weupe ni intelligent sana sijui walijuaje.
hamna mbongo anayeonea wivu mzungumzaji wa kiingereza.Imesaidia in one way. Sana sana kwenye kwa hawa foreign investors. Ila wabongp wanakuwa na wivu kiasi flani. Nakumbumbuka nilikuwa na kikao flani hivi na wazungu nikawa nawapa shule kwenye industry yangu mwisho wakaniuliza hivi wewe umesoma Tz? Nikawapa background yangu wakasema ndio maana upo vizuri. Hawa watu weupe ni intelligent sana sijui walijuaje.
Ipo wapi hiiNimesoma KENYA METHODIST UNIVERSITY 2011-2014 BBA in Logistics managements
Kweli mkuu. Nahisi kukosa kujiamini piaShule nyingi za kibongo back then elimu ya kujieleza ilikuwa haipewi kipaumbele sana, kwa hiyo inakuwa ni juhudi binafsi za mwanafunzi.
Ndiyo maana utashangaa hata chuoni watu wanakimbia presentations.
Kweli mkuu. Nahisi kukosa kujiamini pia
Kweli watu wakupuuza mkuu, ndio maana yametukuta yaliotukuta kwenye elimuhamna mbongo anayeonea wivu mzungumzaji wa kiingereza.
hujatujua wabongo ni watu wa kupuuza kila kitu.
Ni ukweli kabisaImesaidia in one way. Sana sana kwenye kwa hawa foreign investors. Ila wabongp wanakuwa na wivu kiasi flani. Nakumbumbuka nilikuwa na kikao flani hivi na wazungu nikawa nawapa shule kwenye industry yangu mwisho wakaniuliza hivi wewe umesoma Tz? Nikawapa background yangu wakasema ndio maana upo vizuri. Hawa watu weupe ni intelligent sana sijui walijuaje.
Wewe iko najua KONDELE?Kuna habari gani? Mimi nimesoma Kisumu.
Wapi kule Nairobi ama Meru?Nimesoma KENYA METHODIST UNIVERSITY 2011-2014 BBA in Logistics managements