Tuliosoma nchini KENYA tukutane hapa

Tuliosoma nchini KENYA tukutane hapa

Rating ya cheti wanafuata nini? Hawasumbui hua nasikia unawekewa pass mbovu mbovu mfano Div 4 wakati kule ulikua na Div 1. Kuna ukweli wowote?
Hamna. Kule kuna grades na sio division. Mfano A, A-, B+, B, B-, C+, C, C-, D+, D, D- na E. sijui wa rate vipi ila kuna A mpaka B ni div 1 na C+ mpaka C- division 2.
 
Primary-2003-2008 Aboubakar Siddiq Islamic Centre Matuga Kwale Kenya Class 1-5
2009-2011 Tiwi Primary School,Tiwi Kenya Class 6-8(358MrksKCPE)
SECO/HIGH SCHOOL
2012-2015 Shimba Hills High School,Shimba Hills Kwale Kenya,Form1-4(B- Mean Grade KCSE)!
Best memories:
Trh/11/11/2011 saa 11:00(tano kamili) nilimaliza mtihani wangu wakuhitimu msingi darasa La8..hizo namba (11) zilivyofatana imekua kitu cha Ajabu kwangu!
 
Primary-2003-2008 Aboubakar Siddiq Islamic Centre Matuga Kwale Kenya Class 1-5
2009-2011 Tiwi Primary School,Tiwi Kenya Class 6-8(358MrksKCPE)
SECO/HIGH SCHOOL
2012-2015 Shimba Hills High School,Shimba Hills Kwale Kenya,Form1-4(B- Mean Grade KCSE)!
Best memories:
Trh/11/11/2011 saa 11:00(tano kamili) nilimaliza mtihani wangu wakuhitimu msingi darasa La8..hizo namba (11) zilivyofatana imekua kitu cha Ajabu kwangu!
Mkuu jomo kenyatta primary school utakuwa unaijua
 
Kweli mkuu. Pale ndio mzee mwenyewe inasemekana alifariki ndio ikajengwa ile shule kama ukumbusho. Facilities zake na majengo mkuu sio mchezo. Kwale high school unaijua ilipo mkuu.
Ipo maeneo ya Msambweni Milalani mkuu napafahamu hapo
 
Kweli mkuu. Pale ndio mzee mwenyewe inasemekana alifariki ndio ikajengwa ile shule kama ukumbusho. Facilities zake na majengo mkuu sio mchezo. Kwale high school unaijua ilipo mkuu.
Kwale High napapata sana mkuu tulikua na bifu nao tukaenda kukinukisha ndani ya Matuga Girls!ahahahaha
 
Waliosoma Consolata seminary na kuibuka na degree ya falsafa kutoka Ubanian University hamjambo?
 
Kwale High napapata sana mkuu tulikua na bifu nao tukaenda kukinukisha ndani ya Matuga Girls!ahahahaha
Hahah. Mademu wa matuga grls si wa kwale high. Basi mkuu tulikuwa tukigoma pale kwale tunatembea kwa miguu mpaka kombani. Noma sana. Kuanzia kwale mpaka kombani ni kilomita 20 au na zaidi. Basi tunatembea usiku kucha mpaka asubuhi tunakuwa tunefika kombani, usiku kunakuwa hamna gari. Dah nikikumbuka shule ya pale noma sana.
 
Hahah. Mademu wa matuga grls si wa kwale high. Basi mkuu tulikuwa tukigoma pale kwale tunatembea kwa miguu mpaka kombani. Noma sana. Kuanzia kwale mpaka kombani ni kilomita 20 au na zaidi. Basi tunatembea usiku kucha mpaka asubuhi tunakuwa tunefika kombani, usiku kunakuwa hamna gari. Dah nikikumbuka shule ya pale noma sana.
Kombani nakupata sana pale kwenye round about ya road inayoenda Likoni na Ukunda na inayoenda Kwale...Strikes zenu nilishazisikia sana hatakuna kipindi mliletewa Mwera kuja kuwaweka sawa..! Hhhaahaa..
Katka shule vichaa Aisee nyie Kwale ilikua namba nyingine na kwa mbaali mkifatiwa na Waa High!
 
Kombani nakupata sana pale kwenye round about ya road inayoenda Likoni na Ukunda na inayoenda Kwale...Strikes zenu nilishazisikia sana hatakuna kipindi mliletewa Mwera kuja kuwaweka sawa..! Hhhaahaa..
Katka shule vichaa Aisee nyie Kwale ilikua namba nyingine na kwa mbaali mkifatiwa na Waa High!
Dah ile shule acha mkuu. Nakumbuka wakat nipo form 2 tuligoma tukatoka saa 8 usiku shule. Polisi walikuja tukawakimbiza na mawe. Polisi wakajipanga upya wakarudi tena na bunduki. Wakapiga juu risasi, tukatawanyika kisha tukakusanyika tena tukajipa moyo kama risasi zimeisha tuwakimbize tena kwa mawe. Wakazipiga tena nyingi hewani. Hapo ndio tukatawanyika vibaya sana. Tulitembea kwa miguu mpaka tunafika kombani saa 11 asubihi. Ile shule nai miss sana aisee.
 
Back
Top Bottom