Wale tuliosoma nchini kenya tukutane hapa
Wewe umesoma level gani KenyaWale tuliosoma nchini kenya tukutane hapa
Tupeane experience mkuuKufanya nini?
Unaonekana ulikuwa kichwa sana mkuu. Waliosoma hapo ni cream ya national level mkuuLenana School ~ 2009 - 2014
Hatari sana. Mtaani tulikuwa tunaogopewa sanaNyie ndo wale mlikuwa mkirudi likizo mnatusumbua na lugha ya malkia mtaani.Hizi saints zikaja kutuondolea aibu
Sikuelewi mkuuFrench. Atiriri, we ni mundu a nyuba?
ExperienceTukuje kupeyana nini?
Mabeberu nyie tokeni hapaWale tuliosoma nchini kenya tukutane hapa
Hongera. Mi nimesoma jomo kenyatta primary school. Baada ya hapo nikaenda kwale high school. Kisha nikarudi bongo kumalizia vyuo vyetu ma lecturer wanaochanganya lugha ya kiingereza ba kiswahili darasaniMimi nimesoma chuo kikuu cha Kenyatta na nilikua rais wa chuo pale kuanzia mwaka 1997 mpaka 2000!![]()