kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 466
- 457
Wakuu habari!
Leo nmeamka nikaikumbuka shule yangu niliposoma Advance pale musoma Tech.
Nimemkumbuka Mzee Matogoro, mama Helena, Mganga...
Wale vijana wa Pulyamboooo!
Hahaha lkn zaidi nimepamiss Selena lile chaka letu lile unashusha mzigo wakati wowote, ukishusha mzigo usiku ukirudi asbh haupo, umekwishatumika.
Karibuni sana tujikumbushe mambo ya Musoma Tech.
Leo nmeamka nikaikumbuka shule yangu niliposoma Advance pale musoma Tech.
Nimemkumbuka Mzee Matogoro, mama Helena, Mganga...
Wale vijana wa Pulyamboooo!
Hahaha lkn zaidi nimepamiss Selena lile chaka letu lile unashusha mzigo wakati wowote, ukishusha mzigo usiku ukirudi asbh haupo, umekwishatumika.
Karibuni sana tujikumbushe mambo ya Musoma Tech.


