hili somo cjawai kulistuka nilikuwa nasoma km gazet na alama ninayopata naridhika hakika sijawai ona topic ngumu hapo
mh physical geo mbna easy kwangu tatzo survey maana walimu wengi hawaifundishPhysical George mmmmh naiogopa
kwa aliyesoma advanced geography physical ndo iliyokuwa inaonekana rahisi sana kwa sababu ya mkazoSijaona ngumu hapo...ungeongea physical geography ningekuelewa
Climatology mzee uliisomaa? Dah ilikuwa mtiti kidogowe kama mm mkuu,sikuwahi kusoma hata twishen lakini pia sikufeli,nilikuwa nadeal na vitabu,mapamflet na lecture ya class tu,kuna masomo hayahitaji hata kusomewa twisheni,basi tu,we mfano topic kama physical geography twisheni ya nn kama unajua kiingereza unasoma vitabu tu,terminology ngumu ngumu ndio unauliza
Climatology mzee uliisomaa? Dah ilikuwa mtiti kidogo
Geography paper one sio ngumu hata kidogo maana maswali yako direct kama unajua bhasi unajua tu, ila issue paper two ingawa najua wengi mtanipinga paper two ni shida KWA sababu wengi wanashindwa kutoa mifano halisi.Wakuu ni topic gani ya Geography advance inasumbua Kati ya iz map photo survey research and statistics.
Ni kweli ni theory ila application ya hiyo theory ipo kila siku hata kwenye paper lazima inakuwepoHii mi theory nliisoma yote hakuna hata sehem nilioona sual necta buana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mnakutana kufanya nini sasa?Wakuu ni topic gani ya Geography advance inasumbua Kati ya iz map photo survey research and statistics.
Kweli mkuu, waalimu ndo chanzo, nilipokuwa chuo, lecturer wetu halikuwa haijui akatupa stor stor semista ikaisha, hapo ukifikilia advance ivo ivo mwl wetu kairuka, kutokana na hivyo mpaka mm leo hii sijui kitu ingawa nimemaliza chuosurvey, hii ni kwasababu walimu wengi hawako vizuri kwenye hii topic jambo linalosababisha kuifundisha kwa kusuasua ama pengine kutoifundisha kabisa. hili hupelekea wanafunzi pia kuichukulia kama topic ngumu lakini kiukweli kwa level ya advance ni topic ya kawaida.
Weee yale mavipimo cjui how to avoid obstacle chenga sana paleHapa naona notes ndio tatzo topic inanotes balaa
Hahahah dah pale unaishia kuandika namba ya swali tuWeee yale mavipimo cjui how to avoid obstacle chenga sana pale
Kuna siku nilibanwa na swali la compound wind rose kwenye climatology sitasahau.Climatology mzee uliisomaa? Dah ilikuwa mtiti kidogo
Paper 2 ilikuwa ya kufidia marks zilizopotea paper one!Geography paper one sio ngumu hata kidogo maana maswali yako direct kama unajua bhasi unajua tu, ila issue paper two ingawa najua wengi mtanipinga paper two ni shida KWA sababu wengi wanashindwa kutoa mifano halisi.
Mfano case study ya population in Nigeria unakuta mwanafunz hawezi hata kulocate Nigeria inapatikana wapi hata mifano umeulizwa Nigeria unatoa mifano ya Tanzania.
Nina conclude hivi Geog paper one ni simple sana ila paper two ni ngumu na ugumu wake ni technical difficulties!!
hakuna kitu hapo practical geog nilikuwa na Bonge la kitabu kinaitwa practice practical geographiy for Africa humo topic zote zimo na zimeelezewa vizuri sana alafu physical geog nilipata physical geography for Africa basi mi kusoma kama ww tu terminology ikizingua naenda kwa ticha namuulizawe kama mm mkuu,sikuwahi kusoma hata twishen lakini pia sikufeli,nilikuwa nadeal na vitabu,mapamflet na lecture ya class tu,kuna masomo hayahitaji hata kusomewa twisheni,basi tu,we mfano topic kama physical geography twisheni ya nn kama unajua kiingereza unasoma vitabu tu,terminology ngumu ngumu ndio unauliza
Soma uzi unasemajeMnakutana kufanya nini sasa?
Paper 2 ilikuwa ya kufidia marks zilizopotea paper one!