ugomvi huo ni 1999-2002 kwa lebo ya blue tutakuwa tulimaliza pamoja . namkumbuka mhindi dAthiNaikumbuka lebo yangu ya ramani ya Afrika ya Blue, ule ugomvi wa Azania na Jitegemee. Dah Mchwa amefariki lini?
1)class of 1987-1990 Div one over 96 students; div 2 more students than Div 3 and Div 4.... only 2 students Div o... mmoja ya Div o ya 1990 ni mjasilia mali mkubwa sana sasa hivi.Habari wana jamvi, hebu tukumbushane mambo mbali mbali ya shule kipindi hicho. Mimi sitasahau jinsi tulivyokuwa tunasifiwa mtaani kwa kujua hesabu sometimes tunaitwa ma Genious,..
Wewe unakumbuka nini?