mnadhimu mkuu wa jf
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 754
- 272
Aiseee!!!!
Labda aliwasaidia wakapunguziwa nauliYani kweli abiria wote mnamwagiwa mkojo mnakubali??angeshuka njiani huyo
Mimi nilikaaa na Bonge alafu kapuliza pafyumu kama ya maiti nilikuwa sipumui yani nilifika home tumbo loteee linaumaaaa
Haaaaaaaa wwe jamaaaHao ndio wale wanaotumia mtandao pendwa
mwingine tulifika njian akatoa elf 10 akachukua soda ya buku yule muuza soda akasema ngoja nikatafute chenchi (sjui ndo hivyo) eeh mara gari likasepaaaa aiseee nilimuonea hurumaaa sanaHahahahaha, alijipulizia KURUTHUM nini mkuu?
Duh! so sad aisee.Nakumbuka siku moja nilipanda basi maarufu la Morogoro toka Ubungo kwenda Moro. Pale Ubungo walipanda familia moja hivi walikuwa na mgonjwa wamemtoa Mwananyamara hospitali wanampeleka Mikese ambapo ni kwao kwa mujibu wa maongezi yao kwenye simu. Walikuwa mwanamke (ambaye ni mke wa mgonjwa) watoto wadogo wawili (nahisi ni watoto wa mgonjwa na kaka ya mgonjwa. Walichukua siti ya nyuma yote. Yule mgonjwa alikuwa hajiwezi kabisa na walimuingiza kwenye gari kwa kumbeba. Mwanzoni mwa safari alikuwa akiongea kwa shida sana na kuna kipindi alikuwa anapigiwa simu yake ambapo mkewe alikuwa anapokea na baadae kumpa aongee na waliompigia ingawa alikuwa anaongea kwa shida na vitu visivyoeleweka na alikuwa mkali sana kwa mkewe pindi akimwuliza kitu.
Mie nilikaa siti moja toka ile siti yao ya nyuma hivyo nilikuwa nausoma mchezo wote kwa ukaribu sana. Tulisafiri huku yule kaka yake mgonjwa akiwa amemlaza mgonjwa mapajani kwake akiwa amekaa kwenye siti na mke wake akiwa pembeni ya yule mgonjwa. Tulipokuwa tunakatiza maeneo ya Vigwaza jamaa si akaanza kutoa miguno ya ajabu baadae akaanza kunyoosha miguu huku akisukuma siti yetu, alikuwa akikata roho. Yule mke wake alitaharuki akaanza kulia jamaa (kaka) akamtuliza kuwa avumilie ili wafike Mikese so akanyamaza. Hapo wale watu wote wa siti za karibu tumetulia tunajiuliza ni nini hiki kimetokea.
Tukaendelea na safari mpk baada ya kufika maeneo ya Bwawani, yuke kaka yake mgonjwa akawa anawapigia simu watu wao ambao walikuwa wameshawapanga toka wanapanda kuwa waje kumpokea mgonjwa pale Mikese kuwa wakodi hiace jamaa hali imebadilika sana na waende msikiti wa karibu waazime mkeka.
Tulipofika mizani Mikese jamaa akaenda kuongea na dereva na kisha abiria wote tukaombwa kushuka jamaa wakaingia na kanga na mkeka wakashusha mwili ukaingizwa kwenye hiace tukaendelea na safari.
Tukio lile lilinipa hofu sana juu ya kifo maana niliuona mchezo wote live pale nyuma.
Very sad mpk leo naogopa kusafiri na public transport yaani labda iwe mbali sana au niwe sina alternative nyingineDuh! so sad aisee.
Unaogopa maiti?Very sad mpk leo naogopa kusafiri na public transport yaani labda iwe mbali sana au niwe sina alternative nyingine
Wanaume huwa ni majasiri sana kaka akamkumbatia mdogo wake huku akijikaza asilie lkn mke alishindwa akaanza kuliaNakumbuka siku moja nilipanda basi maarufu la Morogoro toka Ubungo kwenda Moro. Pale Ubungo walipanda familia moja hivi walikuwa na mgonjwa wamemtoa Mwananyamara hospitali wanampeleka Mikese ambapo ni kwao kwa mujibu wa maongezi yao kwenye simu. Walikuwa mwanamke (ambaye ni mke wa mgonjwa) watoto wadogo wawili (nahisi ni watoto wa mgonjwa na kaka ya mgonjwa. Walichukua siti ya nyuma yote. Yule mgonjwa alikuwa hajiwezi kabisa na walimuingiza kwenye gari kwa kumbeba. Mwanzoni mwa safari alikuwa akiongea kwa shida sana na kuna kipindi alikuwa anapigiwa simu yake ambapo mkewe alikuwa anapokea na baadae kumpa aongee na waliompigia ingawa alikuwa anaongea kwa shida na vitu visivyoeleweka na alikuwa mkali sana kwa mkewe pindi akimwuliza kitu.
Mie nilikaa siti moja toka ile siti yao ya nyuma hivyo nilikuwa nausoma mchezo wote kwa ukaribu sana. Tulisafiri huku yule kaka yake mgonjwa akiwa amemlaza mgonjwa mapajani kwake akiwa amekaa kwenye siti na mke wake akiwa pembeni ya yule mgonjwa. Tulipokuwa tunakatiza maeneo ya Vigwaza jamaa si akaanza kutoa miguno ya ajabu baadae akaanza kunyoosha miguu huku akisukuma siti yetu, alikuwa akikata roho. Yule mke wake alitaharuki akaanza kulia jamaa (kaka) akamtuliza kuwa avumilie ili wafike Mikese so akanyamaza. Hapo wale watu wote wa siti za karibu tumetulia tunajiuliza ni nini hiki kimetokea.
Tukaendelea na safari mpk baada ya kufika maeneo ya Bwawani, yuke kaka yake mgonjwa akawa anawapigia simu watu wao ambao walikuwa wameshawapanga toka wanapanda kuwa waje kumpokea mgonjwa pale Mikese kuwa wakodi hiace jamaa hali imebadilika sana na waende msikiti wa karibu waazime mkeka.
Tulipofika mizani Mikese jamaa akaenda kuongea na dereva na kisha abiria wote tukaombwa kushuka jamaa wakaingia na kanga na mkeka wakashusha mwili ukaingizwa kwenye hiace tukaendelea na safari.
Tukio lile lilinipa hofu sana juu ya kifo maana niliuona mchezo wote live pale nyuma.
Kaay miitoSuper Mareja ya KondoaView attachment 737504
Siku iji risina tuku keenda kwaava na laami.raviha
Siku iji risina tuku keenda kwaava na laami.raviha
HahahahahhahahahhaaHawa masista duu was kwenye mabasi ni wa hovyo sana.
Mwaka Jana mwezi wa sita natoka Dodoma kuja dar siti ya pembeni yangu alikuua demu flani mweupe kisu kinyama nikasema saaafi, leo Nina bahati. Sasa bwana picha linaanza ndani ya gari Luna joto lakini yeye kapigilia jacket la mvua Kubwa kinoma, hadi nikawa namuonea huruma, nikamwambia si uvue Tu hilo dude,akalivua.
Tumefika Moro kanunua mahindi ya kuchemsha akanigawia na Mimi, ile napeleka mdomoni, yakikuwa yamechacha nikaacha kula lakini yeye alikuwa anayapeleka balaa, sasa nikakawa najiuliza yeye hahisi kuwa yameharibika?
Sasa alikuja kuniua mbavu kuna jamaa alikuwa anauza mbuzi (ya kukunia Nazi) akaniuliza ile nini nikamwambia kuwa hicho ni kifaa cha kukunia Nazi, eti akanijibu mbona kimekaa kama msalaba eti anakiogopa.
Nikavaa headphones nikalala.
Siku iji risina tuku keenda kwaava na laami.raviha
Ha ha ha ha ha kwa papuchi inaact kama sound boosterAcha kabisaa alafu nina bahat mbaya nikijambaa ushuzi unapita kwenye papuchi unasikia kama tetemeko la ardhi prprrprrpapaapaparapapraa
Exactly mkuuuHa ha ha ha ha kwa papuchi inaact kama sound booster