donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Nakumbuka nilifaulu la saba kwenda Azania lakini Mzee akakomaa kunipeleka Makongo Sec. Enzi hizo mkuu wa shule ni kanali mstaafu Idd Omar Kipingu, aisee Ile shule (enzi hizo) ilikua balaa. Kulikua na watu wawili, babu cha-cha na marehemu Miraji.
Nitarudi
Nitarudi