BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,838
Wadau,
Mimi na mdogo wangu tulikula ada siku ya tarehe 24 kwenye mkesha wa kuiaga CCM. Mimi ni mwanafunzi nasoma masters na mdogo wangu anaingia mwaka wa pili undergraduate.
Tulikula ada kwa kuamini kuwa Lowassa atashinda lakini upepo ni mbaya mno, unapuliza kwa kasi kubwa. Hapa mimi na mdogo wangu tumeishiwa nguvu, tangu jana mdogo hana nguvu za kula.
Kama kuna wengine walikula ada tukutane hapa kupeana faraja.
Mimi na mdogo wangu tulikula ada siku ya tarehe 24 kwenye mkesha wa kuiaga CCM. Mimi ni mwanafunzi nasoma masters na mdogo wangu anaingia mwaka wa pili undergraduate.
Tulikula ada kwa kuamini kuwa Lowassa atashinda lakini upepo ni mbaya mno, unapuliza kwa kasi kubwa. Hapa mimi na mdogo wangu tumeishiwa nguvu, tangu jana mdogo hana nguvu za kula.
Kama kuna wengine walikula ada tukutane hapa kupeana faraja.