Kwani kwenye ndoa kuna changamoto?Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Kasie matataaaaaaa...Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
Kwa lugha nyepesi, wEe nikm Padre ... Ashaurie ndoa, ili hali ya ndoani hayajui !!. Yeye huyajua kupitia Case anazozisikia .Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
Mbona unaonekana kama mbibi au sisiter wa kanisa katoliki?ila hapana bhana maana unaimbaga nyimbo za dunia ww hwez kuwa mtawa.Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
Mzigua mdogo angu mbona unataka kuniharibia j4 hii jaman!??mimi kwenye hayo mambo nw km sielewi... labda tuulizane t
Hahahhahhaaa. Nisamehe dada yangu. Wewe naonaga ushakubali yote bora liende.Mzigua mdogo angu mbona unataka kuniharibia j4 hii jaman!??mimi kwenye hayo mambo nw km sielewi... labda tuulizanr tu madeal yanayolipa kwasasa...nimefanya biashara fulan asbh sasa hv nipo hapajaman masuala ya ndoa mie unaniletea vipelek vya jasho
Hahahhahhaaa. Nisamehe dada yangu. Wewe naonaga ushakubali yote bora liende.
Hayo mambo ya deal sasa ndo yenyewe. Tushirikishane hizo deal tupige wote
Niko kwenye ndoa kwa muda sasa lakini changamoto zake sijaweza kuzishinda zaida ya kuvumilia tu je wenzangu vp
Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
Hmm! Haupo kwenye ndoa na yule dadii?Siko kwenye hiyo taasisi Ila sitakosa neno la kusema kwa niliyoyashuhudia kwa ndugu na Hamas. Uko humo kwa muda gani?
😣Romantic nights and breakfast in bed. Hakikisha unapata hivyo vitu nyumbani mtakuwa salama.
hahhaa mie mwenyrw najua kasie hayupo ndoan waliopo ndoan wanajulikana full woga hofu majuto stress kero vurugu mechi ikMbona unaonekana kama mbibi au sisiter wa kanisa katoliki?ila hapana bhana maana unaimbaga nyimbo za dunia ww hwez kuwa mtawa.
Hapa wanashindwa wengiUsiruhusu kukaa na kitu moyoni...usiruhusu mwenzako kutokua na furaha kwa sabab yako
Upendo
Ukweli
Msamaha
![]()