Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Anakwepa pumba point tu, siyo hoja!Asingeniblock kama ni mwingi wa hoja.
Anakwepa pumba point tu, siyo hoja!Asingeniblock kama ni mwingi wa hoja.
This thread is a round peg in a square hole. You cannot compare a thug to a just person.Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingi mno.
Ghafla kibao kimegeuka ,Mama Samia kawa mbaya, na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini.
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.
Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Tunaujua udhaidu wa wafuasi wa chadema,huwa na kawaida ya kukimbia maswali magumu.Anakwepa pumba point tu, siyo hoja!
Labda ni kweli, lakini siyo maswali yako, mkuu Mkorinto! Sina nia ya kukushusha kwa vyovyote, Lakini kama walivyo Mataga wengi, Wewe ni mwepesi sana kichwani!Tunaujua udhaidu wa wafuasi wa chadema,huwa na kawaida ya kukimbia maswali magumu.
Kwani wwe ndiyo Mahakama!? Na ndiyo umeshatoa hukumu!? Hongera sana!!Sabaya
Sabaya Ni mhalifu mbowe ni mpigania haki kwa kuitaka katiba mpya.
Ugaidi unaujua vizuri wewe.au akili zako umeshikiwa.Brainwashed mind,yaani gaidi ni nafuu kuliko jambazi,swine
Nyumbu wengi mnaamini nyinyi pekee ndio wazito kichwani,huu nao ni ugonjwa mbaya.ndio maana wananchi wanawapuuza.Labda ni kweli, lakini siyo maswali yako, mkuu Mkorinto! Sina nia ya kukushusha kwa vyovyote, Lakini kama walivyo Mataga wengi, Wewe ni mwepesi sana kichwani!
Mungu alishatujibia waliovuruga uchaguzi mkuuKwanini lisu alikimbia baada ya kushindwa uchaguzi? Ukijibu hili swali ndo majibu ya kesi ya mbowe
Pia Mbowe kaua watu wengi sana,wakiwemo akina Chacha Wangwe,Mawazo,nk
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Shauri la mauaji bado halijafunguliwa!Na Uko Hapa Hujatoa Ushahidi Huo??
Mbowe na genge lake walifurahia sana kukamatwa kwa Sabaya, kifupi akifikiri kuwa sasa atakuwa free kufanya lolote bila kuwa na mtu wa kumdhibiti. Alichosahau au kutokukijua Mbowe ni kwamba Sabaya alikuwa anajua mambo mengi ya Mbowe kupitia kwa wapambe wake, lkn hakutaka kuweka kila kitu wazi kwa sababu ya utu wake. Sasa kitendo cha Mbowe kushangilia kukamatwa kwake ndio kuliko fanya Sabaya na yeye amwage mboga.
Nenda kwa ukapate ushauri wa Mzee Wasira kule Bunda. Wa kule Chato aliishahama.Imani yangu safari hii ndio mwisho wa haya magaidi na Sacco's yao
Kafungue mashitaka haraka.
Mpigania wa haki wa Sacco's?Sabaya
Sabaya Ni mhalifu mbowe ni mpigania haki kwa kuitaka katiba mpya.