Tanzanian Dream
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 302
- 2,095
Vending machine zinapatikana kwny platform ya Alibaba.Vending machine izo ni shngp na zinappatikan wp
Kwanini mishahara ukutane? Ili ije kupiga story gani. Ni uzembe wa hali ya juu sana. Raha ya mshahara kufika tarehe 01 uwe unaishiliziaMapema sana kaka...inaonyesha mshahara wako inakutanaaaa.
😊😊😊
Kinaweza kuwa na Bei Gani?Fanya service based business(SBB)
waajiriwa wengi wanafanikiwa zaidi kwny biashara ya kutoa huduma kuliko ya kuuza bidhaa..
Mifano ya SBB
1)ride sharing services ie bolt,Uber,Kama una usafiri wako you can try this after working hours.
2) courier-unaweza kuwa courier wa Amazon au alibaba.
3)Education services -anzisha shule ya nursery,weka matron na mwalimu,mhasibu ww mwenyewe,uko mbeleni ukiwa na mapafu unaanzisha primary school kabisa.
Ongezea na hii idea
4)vending machine-kuna VM za soft drinks,Kuna za snacks,kuna za maziwa,huku mtaani kwetu kuna hadi vending machine ya maji ya kunywa,uwanja ni mpana..mchawi location.
Hizi ni baadhi ya ideas ambazo hazihitaji Sana uwepo wako ,unachohitaji ni upfront cost then after,u keep on downloading money.
Vending machine inafanania hv
View attachment 3419479
Vending machine ya maji
View attachment 3419480
Watumishi wengi kwa mwaka wanaingiza chini ya mil9 kama take home hivyo wewe kama hiyo waipata kwa miezi mitatu means kwa mwaka si chini ya mil30 wafanya biashara gani mkuu yenye capital ya shngapi kwa estimationMie ni graduate wa kada flan hiv, (degree) nilipiga hesabu siku moja ile pesa ambayo ningekuwa nalipwa kwa mwaka mzima, huku kwenye biashara huwaga napata ndani ya miezi 3-4, kipindi cha misimu ya biashara. Kuna misimu miwili. Nishaachaga na ku apply. Wateja wangu watumishi wanakujaga wanaongea kwa nyodo nawachora tu 😀😀
Unafany Mishe gn mkuuMie ni graduate wa kada flan hiv, (degree) nilipiga hesabu siku moja ile pesa ambayo ningekuwa nalipwa kwa mwaka mzima, huku kwenye biashara huwaga napata ndani ya miezi 3-4, kipindi cha misimu ya biashara. Kuna misimu miwili. Nishaachaga na ku apply. Wateja wangu watumishi wanakujaga wanaongea kwa nyodo nawachora tu 😀😀
Habari mkuu nimekucheki pm kulee naona kimyaVending machine zinapatikana kwny platform ya Alibaba.
Bei yake inategemea na aina ya vending,Kuna vending ya maziwa inauzwa 7.5M,Kuna snack vending inauzwa kati ya 3M-2M,Kuna za maji zina range 4M-1.5M,unaweza kuingia kwny website yao.
Sina constant profit mkuu, mwezi huu inawezakua jero mwezi ujao ikawa mia saba hivyo yani.Unatengeneza faida kiasi gani per month au nawewe waogopa kutekwa
Pm yangu haifanyi kazi,naweza kupokea pm lkn siwezi kuzijibu,hiyo ndio changamoto yangu.Habari mkuu nimekucheki pm kulee naona kimya
Naweza kukutumia e-mail, tuwasiliane huko?......maana nna suala serious sanaPm yangu haifanyi kazi,naweza kupokea pm lkn siwezi kuzijibu,hiyo ndio changamoto yangu.
Ata mie nataka hiyo biashara.Biashara ipi unafanya mkuu
Ya mtaj wa 500k alaf unapata 300k mpk 500k
Fanya hivyo,itume kwa pm nitaionaNaweza kukutumia e-mail, tuwasiliane huko?......maana nna suala serious sana
Tunapataje kazi kwa mzungu au mjapaniJama i kuajiriwa raha nyie...nipo hapa nasa nakula.mshahara wa dollar laki 7 kwa mwaka kuwashushia tuu hesabu za bwana eistein.
Ila uajiriwe na mzungu au mjapan. Hizi kabila zingine ni shida tuu
Na hapo ndio mtihani ulipokuwepo mwanawane.Tunapataje kazi kwa mzungu au mjapani