Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,933
- 218,735
Pole kwa Ban takatifuKuna watu wanataka kuuaminisha Umma kuwa Rais Samia Suluhu hakosei.
Hawa watu kwa kuendelea na upuuzi ule ule kwa waliokuwa wanazi na mashabiki wa Magufuli ambao nao walikuwa wanataka kuuaminisha Umma kuwa hakuwa akikosea.
Watanzania wengi wanajikita katika Ushabiki, Mahaba, Jazba, Mihemko na Ashki hata katika mambo ya msingi ya Kitaifa.
Kwa sasa limeibuka kundi la watu ambalo ukimkosoa tu Rais Samia unaonekana ulifaidika na utawala wa Magufuli. To hell.
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Ni muendelezo wa kutumia matumbo kufikiri toka miaka na miaka tunaposhindwa kukemea ubovu kwa kuamua ku side na waovu kwa kuangalia kabila,dini,chama,jinsia,dhehebu n.k
Mimi nitasimama kama Mtanzania hawa wote watapita Tanzania itabaki. Tutamkosoa Samia na akija Mwingine akakosea tutamkosoa kama ambavyo tulimkosoa Kikwete na Magufuli pia.
Na atakayefanya vizuri tutampongeza kwa mazuri yake.