Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,673
Ndio maana nakulavugi hivyohivyo my Lisa.pwenti 100%%%%%%%%%.Embu vaa viatu vya huyo dada, ingekuwa ni wewe ungeumia kwa kiasi gani? kwa nn mnawafanyia hivi wasichana? kwa nn mnapenda kutuumiza mioyo yetu ambayo tuaitoa kwenu kwa mapenzi? huoni kwamba unaweza hata ukamuharibia maisha yake? maana huy dada yeye kwenye akili yake alifahamu kuwa mtaendelea na step nyingine , lkn wewe unaendelea kumgegeda na humwambii kitu. Ungemwambia tangu mwanzo kwamba sina future na wewe, nafikiri angejipanga. Kwa kweli niemeumia sanaaaaaaaaaaaa! I wish ningekuwa na uwezo wa kuhukumu leo ningekuhukumu, I swear ! Ningekuhukumu!!!!! U wwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!! Hivi tumewakosea nn enyi wanaume? yaani sisi tumeumbwa kuwa midoli mbele yenu? mtuchezeee , mtugeuze mtakavyo halafu ndiyo mtuache kuwa hatufai, LoooooooooooooooH! Shame on UUUUUUUU!!!!!!!!
Last edited by a moderator: