Tulifanya for funny sasa anataka kujenga kibanda

Tulifanya for funny sasa anataka kujenga kibanda

Mabreka, acha uboya ... kama hakukua na makubaliano ya ndoa then piga chini bila huruma, kikubwa mwambie ukweli na ukweli uwe ukweli coz ukweli unaponya! Kilichomfanya na yeye agegedwe muda wote huo bila kutaka kujua kesho yake ni nini?Alkua anafrahia huduma ... kumbuka, somewhere now kuna kidume kinapigwa chini bila huruma but kutokana na 'mfumo' dume na mdada kila mtu anamtetea!!Hapana ...
MY TAKE: Wadada msitoe papuchi kwa kudhania, na kama mkitoa kwa kutegemea ndoa then muulize kabisa ili baadaye msiseme mmetumiwa!!!PIGA CHINI FASTA TENA BILA HURUMA NA KWA MACHO MEUPE
 
Unaweza kumwambia tu ukweli wa hali halisi najua ataumia sna ila ndo hivyo no way out na binafc km m/ume mwenzako hyo ishu unayomfanyia sio poah kabisa,,,what goes around comes around
 
hi wana mmu,
kunua msichana tulikutana nikampiga sound kikaeleweka, km miezi 8 hivi iliyopita.
Tumegegedana kwa mda mie nikijua tunapunguziana stress.

Sasa hiv nataka nitulie nioe ( mchumba nimeshampata)
mie nataka nikate kamba ili nianze maisha mapya na huyu mpenzi wangu.

Imekuwa shida mi nilikuwa najitoa kisailensa, km kuacha kumtumia sms, kupunguza kupiga sim, kupunguza kutoa huduma (financial) tangia mwaka huu uanze sijamgegeda ila naona kama haelewi, bado anangangania.

Nimekuwa natumia ubinadamu kwa kutomwambia kavukavu kuwa nataka kuoa so tuachane, nikimwonea huruma kuwa ataumia sana, coz yy anaona km vile amefika wakati hatukuwa na huo mkakati wakati tunaanza.

Kwa wale wataalam wa hiz issue huwa mna-solve namna gani bila kuacha uadui kati yenu?

Nb; najua kuna watu watadai mbona wakati namgegeda sikusema? Ujue tunaomba msaada pale tunaposhindwa tu.

embu jaribu kuanza kumgegeda tena bila kumpa huduma yoyote financial ... Halafu uchek kama atakusumbua ??
 
Nimhurumie tu huyo unaemuoa maana hajajua tu ur are just one of the heartless n rude man...son of the devil mixxxxxxxxxxxxxxXxxxxxxxxxx
 
Piga chini bila huruma achana na hao wanafiki wanaomtetea huyo demu kwani we ndo umemtoa bikr a?aliemchezea ni yule aliemtoa uschana ww unamsaidia tu tobo liczibe,piga chini fasta
 
Hivi hapo kwenye Red huwa mnamaana gani Rocky? Kumtumiaje yaani?

Siungi mkono anachofanya huyo kaka ila huwa sielewi mnaposema amemtumia! Haikuwa ridhaa ya mwanamke, alikuwa hamuhudumii? alikuwa hamfikishi au ni nini tu, Kwanini msiseme wametumiana?
sie wakati tunaanza kulikuwa hakuna malengo yeyote, malengo amekuja kuyaweka mwenzangu baada ya kuona jimbo liko wazi
 
Mambo vip Mabreka,topic yako imenifanya nijitokeze kwa mara ya kwanza kutoa comments humu JF baada ya kuwa member wa kusoma comments tu za wadau kwa miaka mingi tu.Kwanza ni kweli ataumia sana ukimwambia live kuwa humtaki wat you can do is that mtafutie sababu namaanisha tengeneza manzingira yeye awe ndio mkosaji,kwa mfano mpe rafiki yako namba yake ya cm then amtumie msg ya mapenzi na wew ukiwepo make sure unaisoma hiyo msg kwenye cm yake.Kama utashindwa njoo tena humu humu JF tuangalie alternatives maana wasichana wamekariri kuwa kila uhusiano basi lazima mwisho wake iwe ndoa kitu ambacho sio kweli kabisa.
hapo itakuwa kuongeza dhambi nyingine kwa maksudi
 
Yaani umeshindwa cha kumshauri mpk umtafutie kesi??/ shame on uuuuuuuu!!! kwa hiyo na wewe unafurahia alivyo mgegeda mdad wa watu kwa miezi 8 halafu leo anamwambia hamtaki, embu vaa viatu vya huyo dada ingekuwa wewe ungejisikiaje? mfano ni dada yako, au sister wako, utajisikiaje, unaweza toa ushauri hapa kumbe anayekwenda kuuliwa ni ndugu yako. Acha kabisa hiyo mambo.
tumeanza uhusiano mwez wa 7 mwaka jana, kwa mwaka huu sijamgegeda, so tumenaniliu kwa miez km 5 hiv tu
 
Si ndo hapo sasa, kama ameamua kumuacha.....
kwanini anaweka hali ya hewa nzuri kusiwe na uadui???

ujue sie ni wanadam, tusiwekeane uadui, kweli nakubali nimekosea.

"be good to people as you go up, coz you may meet them as you go down" source my class mate.
 
ulipaswa utuombe ushauri kabla hujaamua kumgeuza binti wa watu kituo cha migegedo bila ridhaa yake

wakati huo sikuona sababu coz nilimwomba akakubali, tatizo mwenzangu alibadilisha malengo baada ya kugundua kuwa jimbo liko wazi,

wakati namtokea alijua nina mke, baada ya kugundua sina mke ndo shida ilipoanza.
 
We Mabreka em saa nyingine tuwe tanajitahidi kuwa na utu basi na kutua kidogo!!yaani unsema unamchukua mwenzio just for funnnn!!!
Ili kujua ukali wa hilo suala lako em ashum huyo mchumba uliyenaye saa hivi na ndio unampenda anakuja kukuambia kuwa he was just with u for fun na amepata wake wa moyo atakeyeolewa naye.utajisikiaje??Usimlaumu huyo mdada kwani ulipomuaproach ye tayari alikuweka moyoni na hilo suala la kuspend tu hakuwa nalo kichwani kwa hiyo sasa hivi kimsumbuacho sio kukosa uelewa ila ni mapenzi aliyonayo kwako.Wewe unaonge kwa ujasiri na kuomba ushauri hapa jf kwa sababu sio wewe unayeiface hiyo hali ila nakuassure na honestly speaking ulivyomtendea mdada huyo sio fair kabisa.
Jifikirie ndio ungekuwa ni wewe ungefanyaje?na ndio maana biblia inatuonya kwamba usilopenda utendewe usimtedee mwingine na unalopenda utendewe mtendee mwingine pia.
Ni kweli kabisa ni suala gumu ndio maana nikaja hapa kuomba ushauri.

Hapa sasa unanilaumu badala ya kunishauri, ushauri wako ni muhimu sana
 
Lol! Ungemwambia mapema kama ni lifti tu ili asianze kupiga na honi baadae akuombe raundi... Ila kwa sasa we mwambie ukweli tu, though truth is hard to swallow...
hatukuwa na malengo kabisa mwanzon, hata wakati tunaanza alijua mie nimeoa, ila baada ya kugundua sijaoa, ndo anataka ajimilikishe jimbo bila uchaguzi.
 
Lakin kwa upande mwingne naweza kusema wanaume huwa 2nadharau sana kwan huyo wakati unamtaka alikuwa na nini na sasa amepungukiwa nini! Labda huyo mchumba ako huyo ulikuwa nae kabla ya kumpata huyo?

kwa mtazamo wangu naona tukiishi pamoja hatutafika mbali
 
Ulipaswa kumwambia mapema kuwa mnatoa stress

alikuwa anafahamu hilo, tena alijua mie mume wa mtu, alipofika gheto na hakuona dalili za kuwepo Ke ndo anataka ahamie kabisa
 
mkuu huyu jamaaa mharibifu tuu! Angemwambia mapema sawa!
kabla ya kunihukumu hebu jiangalie ww
1. hujawahi kugegeda mtoto wa watu?
2, hujawahi tembea nje ya ndoa / mahusiano yako
3, hujawahi gegeda mke/mchumba wa mtu ili hali unajua?

kama kweli hujawahi fanya hayo hapo juu una haki ya kunihukumu.

Mie nimeomba ushauri sio hukumu, hiyo ni kazi ya MUUMBA
 
Una maana yo yote. Kwa nini ulimtumia miezi yote kishaunamwacha. We ni malaya una maana yo yote,kafie mbali
 
Back
Top Bottom