Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
We umeleta habari ya uchochezi. Wajanja tumeshajua unataka kutuambia maamuzi ya kuizuia sukari ya mzee Bakhresa, rais wetu mpendwa alifanya maamuzi ya mwendo kasi.Hahahahaha hoja ya sukari imeisha yaani Chadema mliamini Magufuli atainyoosha CCM ili nyie Chadema mfanikiwe wakati CCM ndiyo wamempa urais akili nyingine bana.
Tuendelee na hoja yetu ya sukari msome hapa kiduchu Rais Magufuli.
Rais aliagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuipatia kampuni hiyo ya Azam eneo la ekari 10,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa.
Pro-Chadema JF hata nalo mnapinga daah!
Na ili kutomuudhi mlipa kodi mzuri prezidaa ametoa ardhi kama pole kwa usumbufu.
Najua unataka kutuambia Rais amejifunza kutokana na makosa. Na kwamba hatawasikiliza tena washauri uchwara wa pale Lumumba.