Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,340
Wanaukumbi.
Kupitia humu JF tulikuwa tunasoma habari kutoka kwa members wenzetu na waandishi wa habari kuwa mfanyabiashara Said Bakhresa, ni mkwepa kodi mkubwa ambaye anaikosesha serikali mapato.
Lakini leo kinyume chake tumemsikia leo Rais Magufuli, akisema kuwa "hongera sana mzee wangu Bakhresa. Wewe ni mlipaji kodi mzuri, na mimi napenda walipa kodi."
Sasa najiuliza hizo habari za ukwepaji wa kodi wa Said Bakheresa, waandishi wetu wa habari na baadhi ya members wenzetu humu JF walikuwa wanazipata wapi.
Au ndiyo muendelezo wa chuki zisizo na msingi dhidi ya mzalendo mlipaji kodi mzuri Mzee Bakheresa.
Mtoto wa Bakhresa, katika risala yake pale kiwandani amesema kuwa wamelipa kodi jumla ya Tsh. 50 Billioni.
Kupitia humu JF tulikuwa tunasoma habari kutoka kwa members wenzetu na waandishi wa habari kuwa mfanyabiashara Said Bakhresa, ni mkwepa kodi mkubwa ambaye anaikosesha serikali mapato.
Lakini leo kinyume chake tumemsikia leo Rais Magufuli, akisema kuwa "hongera sana mzee wangu Bakhresa. Wewe ni mlipaji kodi mzuri, na mimi napenda walipa kodi."
Sasa najiuliza hizo habari za ukwepaji wa kodi wa Said Bakheresa, waandishi wetu wa habari na baadhi ya members wenzetu humu JF walikuwa wanazipata wapi.
Au ndiyo muendelezo wa chuki zisizo na msingi dhidi ya mzalendo mlipaji kodi mzuri Mzee Bakheresa.
Mtoto wa Bakhresa, katika risala yake pale kiwandani amesema kuwa wamelipa kodi jumla ya Tsh. 50 Billioni.