Tuliachana kisa chaja

Tuliachana kisa chaja

Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu.

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya.

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
siku ukishikwa na nyege utamtafuta tu 😃
 
Wanawake wanapendaga attention na care kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo, sijashangaa sana
 
Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu.

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya.

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nilifikiri ni thread ya Mpwayungu.
 
Mlikuwa mnapasha viporo Sasa vimeiva mkabwagana haya Baki na huyo main chick
 
Kwani wewe huna chaja hadi ubebe ya mwenzako?
 
Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu.

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya.

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wanawake wwngine huthamini vidogo sana na kusahau makubwa waliofanyiwa.
Binafsi nimekuelewa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom