Tuliachana kisa chaja

Tuliachana kisa chaja

kitalembwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2014
Posts
6,143
Reaction score
15,757
Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu.

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya.

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee
Una mchumba , mwanamke mwingine wa nn ss?

Huyo mchumba kazi anayo,na anajua ana mwanaume mwaminifu!
Ila Kuna wadada Wana moyo, yaani najua kabisa mtu ana mchumba wake anaejulikana na we unakubali kuliwa Kwa kificho?

Sawa mkuu,Bora mmeachana tu!
 
Chaja haikua yangu Ni yake,,,! TECno sio hoja,,,tujikite kwenye hoja ya msingi!
 
Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu,

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya,

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Siku zote Kaa ukijua wanawake wanafalsafa hii"chake ni chake na chako ni chake"
Vise versa is invalid
 
Very interesting,

Kuna mdada flani nilikuwa natoka nae mwaka Jana, yeye anaishi kwake na Mimi kwangu.

Kwa mazingira ya pale kwangu nisingeweza kumleta kwa sababu mchumba anakujaga Mara kwa Mara na anafahamika na watu wa pale, Ni ngumu kuchanganya.

Huyu bidada huwa tunakutania lodge tunafanya yetu kila mtu anapita hivi!

Tuje kwenye kisa, Kuna siku Kama kawaida tulilala wote, Sasa usiku nikjisahau sikuweka simu chaji, nastuka asbh ina asilimia 4, job huwa nawahi Sana, nikamuomba niondoke na chaja yake akaitikia, kumbe alikuwa na wenge la usingizi. Mimi nikaibeba nikaenda nayo ili nikachajie job,! Na mezani nilimuachia kiasi kadhaa Cha hela ambazo aliniomba anataka kufanyia Jambo fulani!

Sasa alivyokuja kustuka akili zikamrejea akaona kumbe amekosea kuniachia chaja yake, zilipigwa simu hizo Kama mwizi vile, plus sms zisizoisha! nikamjibu shortly ntakuletea jioni !

Kweli jioni nikampelekea, from there ukawa mwisho wa mahusiano, alilia na kulalamika Sana lakini sikumsamehe!

Wanawake mnajikuta Nani ? Mtu anakugharamikia lakini kitu kidogo tu chako unalalamika mpaka mishipa ya shingo ?? Ni kitu gani Cha kijinga kilikufanya ukaachana na mpz wako ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sfi sana hawa viumbe n wabinafsi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom