Nimemfowadia hii post yako. Kazi kwake kusuka au kunyoa. Lakini ujue nikifukuzwa kazi.....knock! knock! guess who is there? Na hiyo damu ya mzee hapo.....nimekubali shem, Memory Card yako kumkichwa si ya mchina.......khaaa!........lol.. inabidi ukumbuke siku zooote don't say what you will regret infront of your shem.... For she remembers everything and all that happens...lol... (Mkoloni wako hana ujanja wa kukuachia... ni bit zake tu hizo...lol)
Nimemfowadia hii post yako. Kazi kwake kusuka au kunyoa. Lakini ujue nikifukuzwa kazi.....knock! knock! guess who is there? Na hiyo damu ya mzee hapo.....nimekubali shem, Memory Card yako kumkichwa si ya mchina.......khaaa!
Si unajua mkoloni wangu ni wa jinsia yako........basi miwivu tuuuuuu..... nikalazimika kumfowadia ili atulize munkari na ajue hata akinitimua kuna mtu so special yuko tayari kunisitiri nisiumbuke.Shem naanza kua na wasi wasi unatafuta sababau ya kufukuzwa ili tu u-knock knock....lol... Ukifukuzwa wee niite niongee na mkoloni kama first step... the second, kukutafutia nyingine... the third... the forth... the fifth ndo hio in blue ni applicable....lol.. (Kulikua na haja ya kumforwadia??)
Si unajua mkoloni wangu ni wa jinsia yako........basi miwivu tuuuuuu..... nikalazimika kumfowadia ili atulize munkari na ajue hata akinitimua kuna mtu so special yuko tayari kunisitiri nisiumbuke.
Good? The Best!.......Orayt, ngoja nifanye logistics za kufukuzwa kazi. Na kule kwa PAW ulikomwanzishia, nshaomba kupigwa BAN. Nikija kwako sitaki kazi wala kuingia JF. Ni dinner tu mpaka kieleweke. Ngoja nimstue homeboy wangu.Shem kea kujitetea....lol... haya basi you will be warmly welcome (maana hommie of coz anakukubali saana...lol) Na precaution naona tumkaribishe dinner - Is it a good suggestion??
Good? The Best!.......Orayt, ngoja nifanye logistics za kufukuzwa kazi. Na kule kwa PAW ulikomwanzishia, nshaomba kupigwa BAN. Nikija kwako sitaki kazi wala kuingia JF. Ni dinner tu mpaka kieleweke. Ngoja nimstue homeboy wangu.
OMG...........kumbe homeboy ako selfish namna hii?Come on ODM... didn't mean that ufutwe kazi... (alafu you know sweetie won't allow you more than a week eeeh??) Hivo basi nilitoa hio suggestion so that she gets to know us better na ajue we are good ppl...lol
Orayt...lets give him a try........ Nta-stay for one month......Gosh! I thot you knew that.... Hio ilikua kitambo maybe he has changed... After all he is a good man....
Deal signed!Hapo i have no right to jibu... He has the last say... i know ODM will understand this.....
Thread Closed!And Sealed....
AJ i do not agree with THIS!! lol
we babu watu bado tunavuta taswira bwana.................Thread Closed!
No... Usijali... ni part ya kueleweshana... Kuna Msemo anao Mario Puzo/God Father... Kua Moyo ulojaliwa Kupenda... daima hurise from lost love to a new one... And i believe in that... ila najua time ya ku recover ina differ from one to another...
we babu watu bado tunavuta taswira bwana.................
I am in an agreement with your disagreement because it will make the greatest Love of all ... and your current signature says something about Love eh? Hah hah hah...!
You say am obsessed with the previous one.. don`t get angry, .. don`t threat .. do the reasoning ..ok! .. and am saying you can only do that if you rn full of Pure Love...Which keeps me in a good place with my stated Wish! .. Loving you how you Loves everything ...and I will maintain this forever ... Why?
Because you r Honestly Lovable in both signatures ... and that is my only Wish ... Is n`t this real Cool Adii?? Lol
<br />Husny umenifurahisha kweli... Ina maana ushavuta taswira... Niambie basi....lol