Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,485
- 7,927
Mbunge wa Mbeya mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson amesema lengo la kugawanya jimbo la Mbeya mjini ni kusogeza huduma kwa wananchi na mchakato huo sio wa Mbeya pekee. Dkt Tulia aliongea hayo wakati akihojiwa na kituo cha redio cha wasafi leo asubuhi.
Tulia amesema ubunge wake yeye haijalishi kama jimbo litagawanywa ama halitagawanywa, amedai kama alimtoa mtu(Sugu) kata zikiwa 36 ataweza kumtoa kata zikiwa chache? Alihoji mbunge Tulia.
Tulia amesema anaona akijadiliwa na wao inawapa sifa na katika mambo ambayo amasema huwa anayafurahia ni kujadiliwa hivyo ameupenda mjadala unaoendelea.
Tulia amesema wanaosema watamfuata amefurahi, anataka wajipime na kama wanaona kina cha maji kinawatosha wamfate.
Tulia amesema hata zikibaki kata 36 anawafyeka
Tulia amesema ubunge wake yeye haijalishi kama jimbo litagawanywa ama halitagawanywa, amedai kama alimtoa mtu(Sugu) kata zikiwa 36 ataweza kumtoa kata zikiwa chache? Alihoji mbunge Tulia.
Tulia amesema anaona akijadiliwa na wao inawapa sifa na katika mambo ambayo amasema huwa anayafurahia ni kujadiliwa hivyo ameupenda mjadala unaoendelea.
Tulia amesema wanaosema watamfuata amefurahi, anataka wajipime na kama wanaona kina cha maji kinawatosha wamfate.
Tulia amesema hata zikibaki kata 36 anawafyeka