GE2025 Tulia Ackson ajitoa mbio za kugombania Uspika

GE2025 Tulia Ackson ajitoa mbio za kugombania Uspika

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Sadly inawezekana kabisa kwamba Tulia akawa ndiye waziri mkuu ajaye.
 
Kwahy na huo umeuhesabu kama ushindi 😃😃😃
Ama kweli watanzania sisi tuna uvivu wa kufikiri
 
Anaenda kuwa PM au deputy PM
Zungu anakuwa Spika
Nagma , mwanamama mzenji Naibu Spika, kumrithi Zungu baadaye
 
Ameahidiwa kupewa Uwaziri Mkuu kama zawadi kwa kumsaidia Abdul kwenye sakata la Bandari .
 
Inasemekana Tulia alikuwa anaongoza kundi la waliokuwa wanasema Samia kapitishwa kihuni kugombea urais ndani ya ccm. Ajali anayokutana nayo ni kama waliyokutana nayo akina Ummy, Mpango Majaliwa nk.
Angekatwa hata ubunge kama ndivyo ilivyo kuwa lakini hakukatwa
 
Watu wametulia kama spika
Maisha ya mchuzi huishia kwenye sufuria
 
Wakuu,

Taarifa zilizopo ni kwamba Kuna uwezekano wa yeye kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.


View attachment 3498660
1763438131656.jpg
 
Back
Top Bottom