mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,412
- 5,151
Baaaasi amekwishaaa!!!Hamna ushindi hapo!
Waziri Mkuu ajaye huyo!
Baaaasi amekwishaaa!!!Hamna ushindi hapo!
Waziri Mkuu ajaye huyo!
Katika hili tunawajibika kumkumbuka na kumpongeza BRITANICA aliyewahi kueleza kama miezi 4 au 5 iliyopita kuwa Tulia naye atakatwa na wahuni.Wakuu,
Taarifa zilizopo ni kwamba Kuna uwezekano wa yeye kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.
View attachment 3498660
katumiwa sasa kabaki kama takataka si unajua mama anajua huu ni mwaka wake wa mwisho hatawahitaji tena machawa wakeKatika hili tunawajibika kumkumbuka na kumpongeza Britanica aliyewahi kueleza kama miezi 4 au 5 iliyopita kuwa Tulia naye atakatwa na wahuni.
Nani anataka uongozi kwa mazingira haya ya umwagaji wa damu!! amekuwa smart
Never say neverHata uwaziri mkuu hatoambulia
Atajaua mwenyewe, kikubwa sio spikaAmekuwa spared kwa sababu maalum usifikiri juu juu
Investment ya taifa katika watu hawa imekuwa hasara kubwa sana.Wakuu,
Taarifa zilizopo ni kwamba Kuna uwezekano wa yeye kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.
View attachment 3498660