VitiSho vya kipuuzi sana hivi kutamkwaASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
ni haki yake Tulia kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea hakuna wa kujitunisha vimisuli kwa mkwara mbuzi kuwa mimi ndio nina hati milikiASIJARIBU KWA SUGU ATASUGULIWA ABAKI AMETULIA.
Aende Kongwa.Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.
"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson
View attachment 1185297
kwaiyo unatakaje?ni haki yake kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea,
Alafu atamteka, atam... Na kuminginiza kwenye miti Kule kisaraweAsije akawa anamaanisha urais ndani ya CCM. Namtahadharisha asijaribu kukiri hata kwa mumewe au rafiki kuwa anautaka urais kwa kudanganywa na upepo uvumao. Akikiri tu atatambua jinsi Magufuli alivyo na nguvu nyingi, kwanza atamvua ubunge wa kuteuliwa na kwa sababu ni wake Rais. Baada ya hapo atamvua unaibu spika bila hata kuitisha kikao cha dharura cha bunge na wabunge wote wa CCM watabaki kmyaaaaa labda wale wa upinzani watabwatuka ila hawatamsaidia chocchote.
Tulia ruksa kugombea hata mbeya mjini sababu jimbo litakuwa wazi na hakuna mwenye hati miliki nalokwaiyo unatakaje?
Vipi kuna mwenye hatimiliki na uraisi,ni haki yake kugombea hakuna mwenye hati miliki na jimbo ndio maana hata Sugu alipata sababu aliyekuwepo hakuwa na hati miliki.Ubunge kikatiba ni miaka mitano baada ya hapo yeyote ana haki kugombea,
hamnaVipi kuna mwenye hatimiliki na uraisi,